secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Yapo yale ya kuokoteza.Hivi mapenz bado yapo tuu! Au mimi niko mbe ya muda
Nimemtumia pm tayari kesho uje unieleze..Hebu nenda halafu kesho nitakuelezea ulisema nini
Hahaha............Kijana Wacha kuwatisha wenzio, waache wapendaneKama mkia wako wa mbele hautoshi/haufanyi kazi ipasavyo hata umpende mpenzi/au make vipi utakuwa huna tofauti na mtu anayepaka rangi kwenye upepo.
Together!
MKuu nakuahidi sitamtembezea tena fimbo ya ukwaju, ngoja usiku wa Leo nimpe kitu mtima wake unapenda then akitoka hapa akamweleze mleta mada jinsi ambavyo tunda humegwa likamegeka haswa.Hahaha............Kijana Wacha kuwatisha wenzio, waache wapendane
Unaweza usimwoneshe hayo mapenzi na bado jirani akafanikiwa kummega kisera π
Kila la heri Mkuu πM
MKuu nakuahidi sitamtembezea tena fimbo ya ukwaju, ngoja usiku wa Leo nimpe kitu mtima wake unapenda then akitoka hapa akamweleze mleta mada jinsi ambavyo tunda humegwa likamegeka haswa.
Na stick kwenye kaulimbiu isemayo ufundishwe ukamfundishe.
Njozi njema.Kila la heri Mkuu π
πππNjozi njema.
ππππ
Wewe sasa unatafuta tukuloge πYeye anampenda Tatiana ila Tatiana ananipenda mimi.
Niko naye na natamba nayeπππ.
Ahsante Bestie wangu Makaveli...Mapenzi mubashara...
Nami nichukue nafasi hii kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa mzee mwenzangu, mwanangu wa damu kabisa Makiwendo mungu atimize ndoto zako. Huna baya kabisa na mimi, nakukubali hilo unalijua.
Mbinguni, utakaa kwenye siti yangu, mie nitasimama.
Utakaa siti yangu usiwaze, mie siti yangu ipo mbinguni. π€£Ahsante Bestie wangu Makaveli...
Hiyo siti yako mbinguni hata ipo basiπ€£