Night message to Tatiana. You know that I love you

Kama mkia wako wa mbele hautoshi/haufanyi kazi ipasavyo hata umpende mpenzi/au make vipi utakuwa huna tofauti na mtu anayepaka rangi kwenye upepo.

Together!
Hahaha............Kijana Wacha kuwatisha wenzio, waache wapendane

Unaweza usimwoneshe hayo mapenzi na bado jirani akafanikiwa kummega kisera 😜
 
M
Hahaha............Kijana Wacha kuwatisha wenzio, waache wapendane

Unaweza usimwoneshe hayo mapenzi na bado jirani akafanikiwa kummega kisera 😜
MKuu nakuahidi sitamtembezea tena fimbo ya ukwaju, ngoja usiku wa Leo nimpe kitu mtima wake unapenda then akitoka hapa akamweleze mleta mada jinsi ambavyo tunda humegwa likamegeka haswa.
Na stick kwenye kaulimbiu isemayo ufundishwe ukamfundishe.
 
M

MKuu nakuahidi sitamtembezea tena fimbo ya ukwaju, ngoja usiku wa Leo nimpe kitu mtima wake unapenda then akitoka hapa akamweleze mleta mada jinsi ambavyo tunda humegwa likamegeka haswa.
Na stick kwenye kaulimbiu isemayo ufundishwe ukamfundishe.
Kila la heri Mkuu πŸ‘
 
Ahsante Bestie wangu Makaveli...
Hiyo siti yako mbinguni hata ipo basi🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…