comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Zanzibar wanatumia umeme bure,mwaka juzi wamefutiwa deni la b70 walizokuwa wanadaiwa na Tanesco kwani hawajawahi kulipa tangu wapelekewe umeme toka Tanganyika. Hawa watu ni mzigo kwetu WatanganyikaNimeona Habari ya kushuka kwa bei za umeme Zanzibar, ndio nikashtuka kua kumbe tokea siku nyingi umeme Zanzibar NI Rahisi kuliko Tz bara.
Je umeme si unatoka huku kwetu? Nini shida mpaka Sisi tunyonywe Unit inauzwa ghali ?
Hivi sasa mkizimkazi anachofanya ni kusukumia mapesa yote huko ZanzibarKwetu ni shamba wanavuna tu bure bure
Unaeleza kuhusu urahisi au bure?Vipi komredi unataka uwagonge na rungu?Nimeona Habari ya kushuka kwa bei za umeme Zanzibar, ndio nikashtuka kua kumbe tokea siku nyingi umeme Zanzibar NI Rahisi kuliko Tz bara.
Je umeme si unatoka huku kwetu? Nini shida mpaka Sisi tunyonywe Unit inauzwa ghali ?
Hivi sasa mkizimkazi anachofanya ni kusukumia mapesa yote huko Zanzibar
CCM wanatukosea sana Watanganyika na watatukosea zaidi kama wakimpitisha tena kuwa Rais wa Tanganyika yetu.Hivi sasa mkizimkazi anachofanya ni kusukumia mapesa yote huko Zanzibar
Kweli kabisaZanzibar wanatumia umeme bure,mwaka juzi wamefutiwa deni la b70 walizokuwa wanadaiwa na Tanesco kwani hawajawahi kulipa tangu wapelekewe umeme toka Tanganyika. Hawa watu ni mzigo kwetu Watanganyika
Zanzibar inatunyonya haina msaadaTumng'oe Mbowe tupate kiongozi wa upinzani atakayefumbua macho watanganyika.
Hilo halina ubishiKwa akili za wana ccm sitashangaa wakimpitisha huyo Mzanzibari kuwa tena rais wa Tanganyika.
Kumbe huku Tanganyika tunaishi kama kumbe ! Looh ni maumivu sasa viongozi wetu iwapo wao niwetu kweli, waone mateso yetu hayo.Kwa miaka mingi, Unit moja ya umeme Zanzibar ilikuwa Tsh 50 tu.
Baada ya Magufuli kutishia kuwakatia umeme kutokana na deni kuwa kubwa, ndipo ikapandiahwa mpk kufikia Tsh 120 kwa unit. Upo hapo??
Wakati huku bara uniti moja ni Tsh 380+
Umeme unatoka bara ni 27,000 mjini na mjini, gusa huku kwetu ni dharau tupuNimeona Habari ya kushuka kwa bei za umeme Zanzibar, ndio nikashtuka kua kumbe tokea siku nyingi umeme Zanzibar NI Rahisi kuliko Tz bara.
Je umeme si unatoka huku kwetu? Nini shida mpaka Sisi tunyonywe Unit inauzwa ghali ?
Serikali ipunguze Bei ya umeme- iwe sh. 100 kwa unit ili tupikie umeme- badala ya kukazania gesi ambayo ni biashara ya viongoziNadhani cha maana zaidi ni kujiuliza kwanini huku umeme sio Bei rahisi pia sababu ukisema hivyo na kule wakaongeza bado hatumsaidii mwananchi yoyote (na katika hizi divide and rule) walamba asali wataendelea kufanya yao... Na kufahamu zaidi dhima ya hawa watumishi wetu jiulize kwanini hata vitu vya kawaida kabisa na vina mbadala wanachukua njia ambayo inazidi kutuumiza. Case in Point
Nishati Safi: Kwanini Tunahimiza / Hamasisha kutumia Fedha za Kigeni katika Mapishi wakati tuna Mbadala
Usinielewe vibaya mimi sio Mercantilist, na ninakubaliana na Bwana Smith aliposema, "It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy". Kwahio cha kujiuliza je ? Kuhamasisha matumizi ya LPG badala ya kuhakikisha...www.jamiiforums.com