Joseph mwakabelele
Member
- May 11, 2019
- 14
- 21
Ndugu zangu, mimi ni kijana ninayetamani kusoma lakini hali ya kiuchumi sio shwari.
Niiliapply vyuo mwaka huu na nimechaguliwa diploma katika vyuo vifuatavyo. Ninaombeni ufadhili nikasome, pia nikasome kozi gani kati ya hizi.
1. Medical laboratory science. Lugarawa na Rucu
2. Petroleum Geoscience and exploration Udsm
3. Educational technology Udom
4. Diploma in primary education, science and math (english language).
Ninaombeni mdaada wenu jaman
Niiliapply vyuo mwaka huu na nimechaguliwa diploma katika vyuo vifuatavyo. Ninaombeni ufadhili nikasome, pia nikasome kozi gani kati ya hizi.
1. Medical laboratory science. Lugarawa na Rucu
2. Petroleum Geoscience and exploration Udsm
3. Educational technology Udom
4. Diploma in primary education, science and math (english language).
Ninaombeni mdaada wenu jaman