Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya banaBeti
ASante mkuu,Kama upo dar nenda manzese au tandika wanaposhusha mahindi machineries ongea na washikaji wakupe nafasi nawe uingie mzigoni hautaweza kukosa chochote, mahindi na mchele kila siku vinaingia sokoni.
Pole pia mkuu kwa hali unayopitia.
vijana hamsaidiki mmekuwa wa hovyo.Kuna kapumbafu flan kanaiitwa Ino Aiwin,nilitaka kufanya nacho kazi kakaleta mambo meusi kakatoroka.Nakavutia pumzi nikafuate Kigamboni nikatie adabu.Wakuu naombeni ndoano nivue samak mwenyewe
Nipeni wazo niingie chimbo gani nipate Hela walau hata mkono uende kinywani
Kodi inaisha, biashara ndo imekufa hivo. Nawaza na kuwazua wapi ntapata ela ya kulihudumia tumbo langu!
Nipo dar es salaam
Haahahavijana hamsaidiki mmekuwa wa hovyo.Kuna kapumbafu flan kanaiitwa Ino Aiwin,nilitaka kufanya nacho Nazi kakaleta mambo meusi kakatoroka.Nakavutia pumzi nikafuate Kigamboni nikatie adabu.
Pole sana mkuuvijana hamsaidiki mmekuwa wa hovyo.Kuna kapumbafu flan kanaiitwa Ino Aiwin,nilitaka kufanya nacho Nazi kakaleta mambo meusi kakatoroka.Nakavutia pumzi nikafuate Kigamboni nikatie adabu.
Sijakuelewa MKUUMkuu kariakoo haijawahi kumuangusha mtu. Mtaji wako ni Uaminifu tu
Munaandikagakirahisi, kuna wakati nilikuwa nimepigika jamaa kaandika nenda Carwash waambie..... kwenda carwash zotenajibiwa hovyohovyoKama upo dar nenda manzese au tandika wanaposhusha mahindi mashineni ongea na washikaji wakupe nafasi nawe uingie mzigoni hautaweza kukosa chochote, mahindi na mchele kila siku vinaingia sokoni.
Pole pia mkuu kwa hali unayopitia.
AsantePole sana mkuu
Kakwate akaitevijana hamsaidiki mmekuwa wa hovyo.Kuna kapumbafu flan kanaiitwa Ino Aiwin,nilitaka kufanya nacho kazi kakaleta mambo meusi kakatoroka.Nakavutia pumzi nikafuate Kigamboni nikatie adabu.
uaminifu bila kujuana na matajiri bro? mi nko k. koo napambana ila naona bila kujuana na matajiri wenye mali kaz inakua ngumuMkuu kariakoo haijawahi kumuangusha mtu. Mtaji wako ni Uaminifu tu
Jiunge na Mishangazi. Ushuhuda utauleta mwenywWakuu naombeni ndoano nivue samak mwenyewe
Nipeni wazo niingie chimbo gani nipate Hela walau hata mkono uende kinywani
Kodi inaisha, biashara ndo imekufa hivo. Nawaza na kuwazua wapi ntapata ela ya kulihudumia tumbo langu!
Nipo dar es salaam
Au mabibo sokoniKama upo dar nenda manzese au tandika wanaposhusha mahindi mashineni ongea na washikaji wakupe nafasi nawe uingie mzigoni hautaweza kukosa chochote, mahindi na mchele kila siku vinaingia sokoni.
Pole pia mkuu kwa hali unayopitia.
Matajiri wanakuuliza utaweza masharti kijanauaminifu bila kujuana na matajiri bro? mi nko k. koo napambana ila naona bila kujuana na matajiri wenye mali kaz inakua ngumu
Kubeti sio ajira.Beti
mkuu tupo wengi vipi nafasi bado ipo?Nicheki now, Kesho uende baharini ukavue samaki unaweza pata Zaidi ya Kodi.
Bahari haitabiliki