Niiwakilishe Tanzania Kwenye Big Brother Mwaka Huu (2014)

Niiwakilishe Tanzania Kwenye Big Brother Mwaka Huu (2014)

Status
Not open for further replies.

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
View attachment 139021
Nimepokea maombi mengi niwawakilishe big brother mwaka huu kutoka kwa wadau muhimu,wanaona na vigezo vyote

Mimi uwa ni muongeaji sana na mcheshi pia niko cool.

Sijui mnasemaje wadau, niko tayari kwa komenti zozote.

attachment.php


attachment.php



attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • money stunna.jpg
    money stunna.jpg
    78 KB · Views: 3,580
  • money stunna02.jpg
    money stunna02.jpg
    254.5 KB · Views: 3,613
  • money stunna 2.jpg
    money stunna 2.jpg
    66.1 KB · Views: 3,516
  • money stunna01.jpg
    money stunna01.jpg
    165 KB · Views: 3,563
Mi nadhani kabla ya hao watu waliokushauri ushiriki BBA inabidi ww mwnyw pia utoe msimamo wako umechukuliaje maoni yao cuz tunaweza kukushauri kitu ambacho huwezi fanya km vp sema kwako ni sawa au sio sawa hapo mm nitarudi kukupa maoni yng kiroho safi.
 
mi naona vigezo unavyo..ila kitakacholeta shida ni utayari wako. Nami napendekeza ushiriki
 
Shiriki tu ila badiebey ataipata kazi humu jamvini
 
Mkuu tatizo unaonekana kama ni foreigner- muzungu fulani kupita washiriki wote waliowahi toka bongo!! Bare in mind me sio racist,vinginevyo Sura yako inauzika,hata mwili pia japo hujageuka hata nyuma(Kiding))))
 
Wengine hatujui kupiga hata kura ila utapata wa kukupigia wengi humu Jf
 
Hafadhari umenifurahisha upendelei huu ujinga so called BBA. halafu mtoto wa kiume kutuonesha boxer aliyovaa sijui ni dalili gani? hata Ben Kinyaiya hajawahi kufanya ujinga huu.

we matola una wivu mwili wangu wa kimazoezi wakati wako minyama uzembe hapo niko mazoezi ulitaka nivae suti
 
Mkuu tatizo unaonekana kama ni foreigner- muzungu fulani kupita washiriki wote waliowahi toka bongo!! Bare in mind me sio racist,vinginevyo Sura yako inauzika,hata mwili pia japo hujageuka hata nyuma(Kiding))))

kule wanaangalia uraia mkuu siyo rangi.zimbabwe aliwai shiriki mzungu ili ni mzimbabwe
 
Nenda ndugu yangu....kwani nini bhana.,...we nenda tu!
 
You r body is killing. U r good. Just gooooooooo.kama nawe Ni umetaka from your heart.
Cjawapga kura it wil be da first time for me to do so
 
Mi ningependa mkaingia wote na Kiaz Kitam itakua noma sana umo Mjengon.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom