Niiwakilishe Tanzania Kwenye Big Brother Mwaka Huu (2014)

Status
Not open for further replies.
shiriki mkuu!

do what your what is telling you!

cc. Money Stunna!

but huwa siamini kama ww ni hio sura hapo juu!
 
Last edited by a moderator:
shiriki mkuu!

do what your what is telling you!

cc. Money Stunna!

but huwa siamini kama ww ni hio sura hapo juu!

Kama uamini siwezi kukulazimisha kwa nguvu uamin. Kuna watu umu tunawasiliana kwa tango tukionana
 
Last edited by a moderator:
Hafadhari umenifurahisha upendelei huu ujinga so called BBA. halafu mtoto wa kiume kutuonesha boxer aliyovaa sijui ni dalili gani? hata Ben Kinyaiya hajawahi kufanya ujinga huu.
mwambie asirudie tena. alafu hii BBA inasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida.au ndo ile unaitangaza nchi.?
 
kwani kwenye Big Brother Kunakuwa na wadada pia ....
.
Mana nasikia miili yao ndo biashara?
 
Si umesikia yaliyomkuta Charles Warren wa Nollywood? Yule mate wake nae anashiriki.
 
Kwa kweli dunia inabadirika kwa kasi sana...hivi siku hizi imefikia wanaume tunabehave hivi no offense brother ila mwanaume kupenda kuonesha onesha picha zake in public...while pozi zenyewe ni za kulegeza shingo..kuonesha boxer pamoja na kulembua macho ni "GAY things"...vipi are..?? Sio kwa nia mbaya brother mi naheshimu hisia za mtu binafsi..

Cc money stunna
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…