Nijifiche wapi wakati wa vita mimi na familia yangu?

Nijifiche wapi wakati wa vita mimi na familia yangu?

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
249
Reaction score
452
Kutokana na hali inavyoendelea Duniani ipo siku hayawi hayawi yatakua.

Nimeangalia movie nyingi za world war II pia mauji ya Rwanda. Ukweli familia nyingi hazikujiandaa walidhani ni uzushi haliwezi kutokea. Wale ambao waliamini lingeweza kutokea wengi watusi walikimbia nchi yao na kwenda nchi za jirani. Hata waisrael nao wengi walikimbia na kwenda nchi za jirani. Kuna wale ambao walijificha kwenye majumba yao kipindi chote hicho.

Baada ya vita ya pili kuisha wazungu wamejiwekea utaratibu wa kujenga sehemu ya kujificha wakati wa shida katika nyumba zao. Namaanisha underground bunker ndani ya nyumba.

Shida ipo kwetu Waafrika. Tumekuwa tukijenga majumba mazuri sana ila hamna sehemu ya kujificha na familia zetu tukiamini dunia ni sehemu salama kabisa na Tanzania ni nchi ya amani.

likitokea la kutokea umejiandaa vipi na familia yako? Ni wapi unaweza jificha hata mwezi mmoja kujiokoa wewe na familia yako?
 
Niliwahi kusikia hapo baharini kuna njia ya chini kwa chini kwa ajili yao.

Huku mtaani ni kuomba kudra za Allah tu atuepushe na vita .
 
Kama familia yako mpo wanne.
Namaanisha wewe, mkeo na watoto wawili, basi kila mmoja aelekee uelekeo tofauti.

Hivyo Kuna atakaye kwenda kaskazini, kusini, magharibi na mashariki hivyo ni agharabu kuuwawa wote.
 
Tanzania nchi ya amani tunatia fora kwa amani ni pesa tu hatuna ila amani full usiwe na shaka kifup tuwaze kujikwamuas kwanza
 
Tunakuitaji kwenye vita uje upambane halafu wewe unawaza kujificha ujasiri wako upo wapi?
 
Si Dhani Kwa Sasa kama Kuna mtanzania atapigana vita Kwa ajili ya kuiunga mkono uingereza au Marekani
 
Kutokana na hali inavyoendelea Duniani ipo siku hayawi hayawi yatakua.

Nimeangalia movie nyingi za world war II pia mauji ya Rwanda. Ukweli familia nyingi hazikujiandaa walidhani ni uzushi haliwezi kutokea. Wale ambao waliamini lingeweza kutokea wengi watusi walikimbia nchi yao na kwenda nchi za jirani. Hata waisrael nao wengi walikimbia na kwenda nchi za jirani. Kuna wale ambao walijificha kwenye majumba yao kipindi chote hicho.

Baada ya vita ya pili kuisha wazungu wamejiwekea utaratibu wa kujenga sehemu ya kujificha wakati wa shida katika nyumba zao. Namaanisha underground bunker ndani ya nyumba.

Shida ipo kwetu Waafrika. Tumekuwa tukijenga majumba mazuri sana ila hamna sehemu ya kujificha na familia zetu tukiamini dunia ni sehemu salama kabisa na Tanzania ni nchi ya amani.

likitokea la kutokea umejiandaa vipi na familia yako? Ni wapi unaweza jificha hata mwezi mmoja kujiokoa wewe na familia yako?
Kwa kua mashambulizi mengi yanalenga majengo marefu,na kwamba mengi ya majengo tajwa yapo Dasilamu, basi vita vikianza baki huko huko msovero!
 
Back
Top Bottom