Nijitambulishe nitambulike kwa wanaJF

Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
 
Dah...2020 tayari...naona zile ID zilizotunzwa zinaanza kuingia kazini ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji56]

Sent using Beretta ARX 160
 
nini maana ya hilo jina nyonyoma na nime kua nikiona lina tumiwa sana na mmburudishaji wa short clips zinazo sambaa sana whatsapp kutoka insta kweny acc ya AfricanForester are you related ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…