Nijitibu vipi addiction ya soda?

Nimepata solution, anza kunywa Sparkling water. Yaani very simple.
 
Mfano jana na leo nimemaliza this 750 ml.

 
Ukweli mtupu, Hii mada ni pana, kuna haja ya kuandikia thread/makala yake ya kujitegemea. Ahsante kwa mchango wako.
 
Tutakuwa tunaimba parapanda Italia parapanda 🎶 huku tunakupeleka kwenye makazi yako ya milele huku pembeni kuna kitoroli kimebeba kreti za soda utakazokuwa ukin8ywa huko uendako
 
Hapo tupo pamoja iwapo itakua chai bila sukari.!
 
Mimi nilikuwa nakunywa soda 3/4 kwa siku...

Ile kitu inaitwa Pepsi....Uweeeeeh!!!!

Ila sasa hivi soda nzima simalizi...soda moja nakunywa siku mbili...naweza kumaliza wiki sijanywa soda kabisa.

Kitu gani kilinisaidia....Nilianza kupenda chai/kahawa...nikipata hamu ya soda tu nakoroga kahawa au chai nakunywa....kidogo kidogo kupenda soda nikaanza kupunguza hadi sasa..

Na wewe unaweza kufanya hivyo pia...Itakusaidia..kama unapenda kunywa maji kwa wingi unaweza kutumia kama mbadala wa chai..

Kila lenye kheri Mkuu...
 

Ahsante sana, niko napambana now nahitaji nifikie kutotumia kabisa.
 
Nina mwezi wa tano sasa sijagusa soda mara ya mwisho mwezi wa tatu, na wala sina hamu nazo tena, nilikua nazipiga mpaka soda Sita kwa Siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…