Nijue, ishi na mimi: Ahadi namba 5 ya Mwanachama wa CCM

Nijue, ishi na mimi: Ahadi namba 5 ya Mwanachama wa CCM

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

NIJUE, ISHI NA MIMI: AHADI NAMBA 5 YA MWANACHAMA WA CCM.



NIJUE, ISHI NA MIMI: AHADI NAMBA 5 YA MWANACHAMA WA CCM

"Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu."

Ahadi namba 5 inasisitiza kuwa uongozi ni utumishi kwa wananchi na sio manufaa kwa mtu binafsi hivyo hatutakiwi kutumia vibaya au kumshawishi kiongozi aitumie vibaya dhamana hiyo.

#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia

IMG-20210728-WA0005.jpg
 
Sasa mbona viongozi wote wa ccm wanatumia vyeo vyao kwa faida yao? Huwa hawasomi hizo ahadi! Au wameamua tu kuwa wakaidi?
 
Bongo uongozi ni manufaa kwa kiongozi yeye binafsi na watu wake wa karibu.

Ndiyo maana mtu akipata teuzi watu wanasema ameula.
 
Uongozi wetu kwa sasa ni njia ya kuuaga umasikini.
 
Back
Top Bottom