Nijulisheni dawa ya kuleta njaa

Kibishi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
1,139
Reaction score
1,031
Habari zenu Wakongwe.

Kuna ndugu yangu hana kabisa appetite ya chakula,hata kiwe kizuri vipi anakula kidogo sana.Dawa gani ya kuleta njaa?
 
Onana na watu wa forever living wana product za watu wembamba zinazorudisha appetite na Kuwa na afya nzuri na atapenda kula tena . waone hao watakusaidia
 
Onana na watu wa forever living wana product za watu wembamba zinazorudisha appetite na Kuwa na afya nzuri na atapenda kula tena . waone hao watakusaidia

Akhsante Mrs. Amoo
 
Habari zenu Wakongwe.
Kuna ndugu yangu hana kabisa appetite ya chakula,hata kiwe kizuri vipi anakula kidogo sana.Dawa gani ya kuleta njaa?

Hapo solution si kuleta njaaa, huyu anatatizo la kukosa apetite. Njia ya kwanza ni kumsisitiza ale matunda esp machungwa. Huku mkitafuta suluhisho la hili tatizo hosp maana kuna vidongea vya kuongeza hamu ya kula.
Suluhisho la kudumu ni kujua tatizo lililomfanya hawe hivyo kama ni mawazo au ni dalili ya ugonjwa fulani. Fika hospitali
 

Shukrani merengo90
 

Mkuu samahani kidogo, hivi kweli mtu awe hajala chakula afu unamshauri ale machungwa?? Machungwa si yana asidi??

C.c. kavulata
 
Last edited by a moderator:
Mkuu samahani kidogo, hivi kweli mtu awe hajala chakula afu unamshauri ale machungwa?? Machungwa si yana asidi??

C.c. kavulata

Nimezungumzia matunda lakin mkazi au content nyingi ijengwe na hayo.
 
Last edited by a moderator:
Nimezungumzia matunda lakin mkazi au content nyingi ijengwe na hayo.
dawa pekee ya kuleta njaa tumboni mwako, labda kama hauna apetite, PUKUTISHA FESHA, kung'uta account bank. ukiwa huna kitu mfukoni aisee utakula hata mataputapu. tatizo ukiwa nazo njaa haiji inajua utanunua chochote utakacho.
 
dawa pekee ya kuleta njaa tumboni mwako, labda kama hauna apetite, PUKUTISHA FESHA, kung'uta account bank. ukiwa huna kitu mfukoni aisee utakula hata mataputapu. tatizo ukiwa nazo njaa haiji inajua utanunua chochote utakacho.

Huu ushauri ni nomaaa......
 
Mkuu samahani kidogo, hivi kweli mtu awe hajala chakula afu unamshauri ale machungwa?? Machungwa si yana asidi??

C.c. kavulata

asidi ile haina madhara mama.. tena wakati huu inabidi atumie sana matunda kama tikiti, chungwa, ndizi na maji ya kutosha.. Huyo mtu amepoteza hamu ya chakula toka lini na ni me/ke..?
 
Last edited by a moderator:
Mh natamani ndo niwe mimi!mi naombeni dawa yakupunguza appetite jaman.
 
kwanza kapime afya kwa ujumla;maleria tumbo.kisha pata muda wa pumzika pia wachana na mawazo.Dawa jaribu dawa inaitwa PHAMACTIN ni ya aptite ina picha ya mtoto anapiga mpira ila ina leta usingizi ni vizuri uwe unatumia usiku tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…