social_science
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,106
- 1,260
hujajibu swali we bwegedudeMange alisema kijana anatelezesha nyoka pangoni kwa Mzungu ambaye ni demu wa msanii rafiki na Mond Sana,huwenda nayo ikawa sababu.
Mi nilijuaga ni utani, maana hata Harmonize alionekana akimtania Mwarabu kuhusu hiloMange alisema kijana anatelezesha nyoka pangoni kwa Mzungu ambaye ni demu wa msanii rafiki na Mond Sana,huwenda nayo ikawa sababu.
Mi nilijuaga ni utani, maana hata Harmonize alionekana akimtania Mwarabu kuhusu hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ronja ni niniKwema wakuu
Katika pitapita IG nimekutana na post ya bodyguard wa msanii Diamond akiendelea na majukumu yake mengine(kapata boss mpya)
Najua hapa Jf kuna wajuzi,nipeni ronja nini kimemsibu huyu bwana kuacha kazi.
Ila wako beneti sana!Harmo hampendi yule dada hata kidogo hata ukimuangalia usoni tofauti na mahusiano mengine yaani yuko pale kimaslahi kama mdangaji flani hivi wa mjini angekuwa serious naye alivosikia amemcheat angempa kibuti lakini wala haonyeshi kujali hata kidogo
Ila inabidi tujue nimaslahi yapi hayo anayoyapata kutoka kwahuyo mzungu au tujue mzungu anamishe gani hapa bongo zakumuingizia mkwanja kiasi hicho mpaka harmo anate kwake?Harmo hampendi yule dada hata kidogo hata ukimuangalia usoni tofauti na mahusiano mengine yaani yuko pale kimaslahi kama mdangaji flani hivi wa mjini angekuwa serious naye alivosikia amemcheat angempa kibuti lakini wala haonyeshi kujali hata kidogo
Mkuu sio umemchanganya na yule ngumi jiwe???Write your reply...
huyo fighter aliwahi kupumuliwa na wahuni
kule kariakoo