Nijuze ndugu zangu familia isije ikanitenga

Nijuze ndugu zangu familia isije ikanitenga

Lwakitwe

Senior Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
101
Reaction score
15
habari za asubuhi wana jamvi nimatumaini yangu kwamba hapa ndo mwisho wa suluhisho la tatizo langu kuna maneno mpaka sasa hivi sijapata maana yake naomba kusaidiwa.
Kwa moyo mmoja nayawasilisha maneno haya hapa ORUSHENGO;AKATABULANE;EIBUBA;KIJUTA;ENDWANO.
Kwa ufupi mwenye kujua maana yake anisaidie na yule atakaye kuwa anajua mengine zaidi azidi kunijuza
"WAKORA WAITU"
 
hapa najua akina muganyizi ,kokutona,rweyemamu,mshaija emanzi,lazima mtanisaidia
 
Back
Top Bottom