Nijuzeni katika hili

Pejokiss

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
226
Reaction score
116
Vijana wenzangu kuna habari nimeiskia kuwa mtu aliyeathirika kwa virusi vya UKIMWI na kuanza kutumia ARv's hana uwezo wa kumwambukiza mtu ambae hana VVU coz sehem kubwa ya mwili wa anaetumia ARVs inakua haina virusi vya HIV.

Je kuna ukweli wowote hapa?
 
umedanganywa..............................
 
Probability at the lowest rate! BUT why utest sumu kwa kuilamba?
 
hakuna ukweli hapo mkuu tena usijaribu utaupata vizuri sana.
 
Hiyo hali ya kutoambukiza wengine ipo kwenye mgonjwa wa TB
aliyeanza kutumia dawa. Kwenye HIV hakuna kitu kama hicho.
 
Haiwezikani ataweza kukuambukiza. Hizo Hizo dawa za ARV hazitibu Ukimwi zinakupa muda wa kuweza kuishi na itabidi utakuw aunatumia kila siku katika maisha yako na hizo dawa za ARV zitakuletea madhara ya magonjwa mengine . Soma chini Madhara ya kutumia Dawa za Kurefusha umri ARV.


4 Side effects of ARVs


Overview of risk of side effects-Difference between major and minor side effects-How to reduce side effects, including switching treatment-Main side effects linked to common combinations


4 Side effects of ARVs | Treatment training manual | HIV i-Base

Ukitaka Dawa ya kukutibu upone kabisa Huo Ukimwi wako nitafute mimi dawa ninayo ukinihitaji tiba zangu bonyeza hapa.
Mawasiliano

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…