Nijuzeni kuhusu Chama na Mogela

Mkuu ,nadhani hujamuelewa.
Alimaanisha kwamba , washambuliaji walikuwa hawalindwi na Waamuzi wakichezewa fujo na Walinzi kama kipindi hiki.
Ooooh uzee tena na mafuriko miwani imesombwa na maji hapa kipo. Ila zamani kulikuwa na utemi hasa wa kijinga namkumbuka mchezaji mmoja mkorofi sana Rosta Ndugulu huyu hakuna na adabu ya kichezaji full ukorofi. Labda kutoka na mijibaba kucheza mpira kama akina Tobias Mkoma na wengine hawa walitisha sana sasa haka kaKaseke nako kachezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikuwa akiitwa 'Big man ' ni Athman Maulidi?
Roster Ndunguru ,vijana wa mtaa wa Kongo(Nyota Nyekundu) ,tawi la Simba.
Frank Kasanga, Mohamed Nyauba.
 
Nani alikuwa akiitwa 'Big man ' ni Athman Maulidi?
Roster Ndunguru ,vijana wa mtaa wa Kongo(Nyota Nyekundu) ,tawi la Simba.
Frank Kasanga, Mohamed Nyauba.
Bango lao limeandikwa kumkoma nyani giladi red stars ya kina morris nyuchi david roster Ndunguruvipepsi kwa wingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…