heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 Jul 17, 2017 #1 Wakuu tatizo langu ni hilo hapo juu nimetumia dawa nyingi za kupaka na kumeza ila tatizo lipo palepale kama kuna MTU anaejua dawa tafadhali Shea nami Ni mikononi tu hadi kucha zinatoka kama ni sabuni nielekezeni IPI ni bora
Wakuu tatizo langu ni hilo hapo juu nimetumia dawa nyingi za kupaka na kumeza ila tatizo lipo palepale kama kuna MTU anaejua dawa tafadhali Shea nami Ni mikononi tu hadi kucha zinatoka kama ni sabuni nielekezeni IPI ni bora
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jul 17, 2017 #2 Muone dr wa ngozi ikiwezekana uwe na doze ya kunywa ambayo itazunguka kwenye damu na dozi ya kupaka kwa wakati mmoja
Muone dr wa ngozi ikiwezekana uwe na doze ya kunywa ambayo itazunguka kwenye damu na dozi ya kupaka kwa wakati mmoja
heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 Jul 17, 2017 Thread starter #3 Sky Eclat said: Nimefanya hivyo nimetumia vidonge vingi mno zaidi ya 40 mwez mzima na kupaka pia lakini moto ule ule Click to expand...
Sky Eclat said: Nimefanya hivyo nimetumia vidonge vingi mno zaidi ya 40 mwez mzima na kupaka pia lakini moto ule ule Click to expand...
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jul 17, 2017 #4 Muone dermatologist
halloperidon JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 2,096 Reaction score 5,254 Jul 17, 2017 #5 Weka jina la dawa uliyotumia Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Loly JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 522 Reaction score 221 Jul 18, 2017 #6 Yeyote mwenye shida ya fungus anitafute dawa ninayo yakuua kila aina ya fungus