Nijuzeni vidonge vya kuongeza testosterone

Unaweza fanya mazoezi
Au unaweza tumia Dawa za uzazi wa mpango(OCPs) kama Flex P


Ila ni vyema ungetafuta kwanza chanzo cha kujua kinachosababisha wewe kuwa na hiyo hormone kwa wingi.
Nahitaj kubeba mimba so flex p sitaweza
 
Dawa yake ni primolut N ,, kuna brand name nyingine inaitwa hivuo hivyo testerone,, doz inatofautiana a ukubwa wa watatizo ila kama unavyojua ukimaliza lazima ukae kama siku 2-4 utableed ,,
mkuu soma tena ulichoandika maana sidhani kama uko sahihi kulingana na hitaji la mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…