Nijuzeni viwanja vizuri vya kustareheka hapa Capital CIty

Nijuzeni viwanja vizuri vya kustareheka hapa Capital CIty

Siasa

Member
Joined
May 18, 2009
Posts
29
Reaction score
7
Wakuu nimeingia Dodoma jioni hii. Nataka nile wkend na kimwana wangu aliyepo hapa hapa. Nijuzeni viwanja vipi naweza toka nae. Ningependa sehemu iliyotulia,ninadrive.
 
Huyo dem ulienae unammiliki au ndo wale wa kukwapua? tupe sifa za demu wako as viwanja vinategemea na profile ya dem mwenyewe!
 
Mtulivu kama mimi,ni wapenzi wa siku nyingi,tunataka sehemu nzuri tule raha jioni hii
 
Back
Top Bottom