Nijuzeni zao la biashara linalotoka kwa sasa

Nijuzeni zao la biashara linalotoka kwa sasa

charrote

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
1,848
Reaction score
4,146
Salaam wakuu,
Naomba kujuzwa zao LA biashara linalojiuza sokoni bila kumpa stress mkulima,itapendeza zaid likiwa linastahimil ukame na la muda mfupi.Kama kuna mchanganuo pia kuhusu mbegu,mbolea,madawa na ulimaji wake na maeneo linapostaw hilo zao naomba nifahamishwe.

NB. Ushauri kuhusu "korosho" sitaufanyia kazi.

Karibuni.
 
Salaam wakuu,
Naomba kujuzwa zao LA biashara linalojiuza sokoni bila kumpa stress mkulima,itapendeza zaid likiwa linastahimil ukame na la muda mfupi.Kama kuna mchanganuo pia kuhusu mbegu,mbolea,madawa na ulimaji wake na maeneo linapostaw hilo zao naomba nifahamishwe.

NB. Ushauri kuhusu "korosho" sitaufanyia kazi.

Karibuni.
Mboga mboga, ni kilimo cha muda mfupi, kinalipa na soko lake pia ni kubwa. Uwe tu na chanzo kizuri cha maji
 
Mboga mboga, ni kilimo cha muda mfupi, kinalipa na soko lake pia ni kubwa. Uwe tu na chanzo kizuri cha maji


mboga mboga nayo siku hizi imekuwa headache balaa..ushindani umekua mkubwa sana...zaman wamama walika wanatoka dar wanakuja mikoa jirani..saaa hv hakuna..wanalima hatari... kuna mdada kalima mchicha mwingi sana umedoda..hauna wanunuzi...Mungu atusaidie kwakweli...
naandika haya nikiwa na uhakika na ninachoandika
 
mboga mboga nayo siku hizi imekuwa headache balaa..ushindani umekua mkubwa sana...zaman wamama walika wanatoka dar wanakuja mikoa jirani..saaa hv hakuna..wanalima hatari... kuna mdada kalima mchicha mwingi sana umedoda..hauna wanunuzi...Mungu atusaidie kwakweli...
naandika haya nikiwa na uhakika na ninachoandika
Yah ni kweli ila njia rahisi ni kutafuta location ambayo ina uhitaji mkubwa ambapo supply yake ni ndogo kuliko demand
 
Mboga mboga ila hapa kuna jambo la kujua hasa kilimo cha mboga mboga kinaitaji mtu uwe na mahesabu ya muda na soko.

Mfano kila eneo Tz lina misimu ya hali ya hewa, kuna kiangazi, masika na kipindi cha kawaida. Sasa hapa unatakiwa kuesabu miezi ya kiangazi ni lini then unalima ukijua kiangazi kikifika wewe ndio unavuna na kuingia sokoni.

Pia kwa mboga mboga jamii ya matunda kama matango, unatakiwa mbali ya kuesabu vipindi vya hali ya hewa pia uwe na plot au mashamba zaidi ya matatu kisha lina ukipishanisha muda ata mwezi mmoja mmoja

Hapa lazima utaipata faida, ila ukilima bila hesabu lazima upate stress.
 
mboga mboga nayo siku hizi imekuwa headache balaa..ushindani umekua mkubwa sana...zaman wamama walika wanatoka dar wanakuja mikoa jirani..saaa hv hakuna..wanalima hatari... kuna mdada kalima mchicha mwingi sana umedoda..hauna wanunuzi...Mungu atusaidie kwakweli...
naandika haya nikiwa na uhakika na ninachoandika
Tungekuwa na viwanda vya kusindika mchicha uuzwe kwenye makopo au kuugandisha kwenye barafu huyo dada asingeumia kichwa.
 
Majira ya mfungo ni wakati wa soko zuri kwa mazao kama viazi vitamu, mihogo, Kunde na jamii ya maharage na ndizi mzuzu
 
Tungekuwa na viwanda vya kusindika mchicha uuzwe kwenye makopo au kuugandisha kwenye barafu huyo dada asingeumia kichwa.
Tuuaindike wa nini? Kwani Mchicha nao ni unaadimika? Au tu export? kwani mchicha unaliwa huko ulaya pia?
 
Back
Top Bottom