Nikajifanya kutaka ujiko, demu akaniletea noma……….!


Mtambuziiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!! Story zako zinaniachaga mie hoiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! Aksante kwa kuniongezea siku za kuishi. Hadithi hii inatufundisha ule msemo wa acha Mungu akukweze, husijikweze mwenyewe. Siku hizi sioni kile kidude cha thank u. Nimekugongea kwa huku huku, nadhani utakuwa umeona cha kwamba nimegonga like.
 
unamuacha alipe mwenye,unajiondokea kimyakimya na kupitia mwananyamala pale kuna dada poa unamchukua mmoja unabonyeza kinanda hadi asubuhi.
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba, mimi nilikuwa ni mmoja wa waandishi wa visa hivi katika hilo gazeti.............................

Kwa maana hiyo hapo juu, unakiri kwamba una - copy na ku paste kutoka gazeti tajwa au? Bana sitaki kusikia hivyo, maana mi nikisoma naamini kabisaaaaaaaaaa kwamba ni wewe. Nitakasirika nikisikia ni vya ku-copy na ku-paste halafu nitajipunguzia siku zangu za kuishi wakati kila mara nikusoma humu ndani huwa naongeza siku zangu za kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…