Nikapigwa ndoa ya mkeka Ununio…!

NATA umeona eh! wengi hawajkui kama hizi simulizi zangu zina mafunzo ndani yake.
Mnaposoma mpembue pumba na mchele.

Mimi nilifanya makosa, ndio, mimi sio malaika...
Hivyo mkisoma hapa mnatakiwa mchukue mazuri na muache yale mabaya,
lakini tatizo lenu nyie mnaacha mazuri mnachukua mabaya........ sasa hiyo ni akili au matope?

pamoja daima......................LOL
 
Last edited by a moderator:

Mtaalam mkuu kumbe ni wewe uliyekuwa unashadadia siku zile wakati napigwa ndoa ya mkeka
naamini sasa utakuwa ni mtu mzima maana ulikuwa mdogooo
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mzee Mtambuzi kwa visa vyako vizuri ambavyo vinafundisha.
The unseen is illustrated by the seen.
 
babu Mtambuzi, sichangii...... naomba kuguna tu! mmmmmmhhhhhhh!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin ....... Duh, nitasingiziwa mengi humu leo, maana nimeona hata lafudhi yako leo imekuwa ya Kizaramo..................
 
Mtambuzi , eu venho aqui de vez em quando. Eu gosto de suas histórias. Eles soam tão real. Você escreve livros?

Duh, hapo umeongea mcharazo umeniacha kabisa Muito obrigado!
 
Duh, hapo umeongea mcharazo umeniacha kabisa Muito obrigado!
Mtambuzi , hapo nimesema "huwa nakuja hapa mara kadhaa. Napenda hadithi zako. Zinaelekea ni masimulizi halisi. Je, unaandika vitabu (vya hadithi)?"

Usijali nilikuwa nachangamsha genge tu na kireno cha kuombea maji hicho! Obrigado também!
 
Last edited by a moderator:
Jijengee tabia ya kupenda kusoma.
Wa TZ tunasemwa sana kuwa tu wavivu wa kusoma.
Hebu tuikomeshe hii tabia.lol!

:biggrin1: tungekua wavivu kusoma tusingekua tuna wasomi wengi nchi hii..we unafikiri kupata degree au masters utaipata bila kua unasoma mavitabu..tatizo ni kua kitu muhimu sana kwako utakisoma hata kama ni pg100
 
Hahahaha, mkuu huna haja ya kuogopa maana ni kitambo sana sasa, sidhani hata huyo mkeo mwenyewe anakukumbuka.
Mkuu hivi unajua kuwa yule still ni mkeo halali kabisaa maana you never filed a divorce:dance:

no hawezi kuwa mke hata kama ilifungwa kisheria but kama hakumuingilia basi si mkewe.ndio maana mume akifa pasi na kumuingilia mkewe hata siku moja basi mke hapaswi kukaa uzuka.
 
no hawezi kuwa mke hata kama ilifungwa kisheria but kama hakumuingilia basi si mkewe.ndio maana mume akifa pasi na kumuingilia mkewe hata siku moja basi mke hapaswi kukaa uzuka.

amekwambia alikula usiku kucha, au kwasababu mkeka ulikuwa bado hujatandikwa
 
yaani nimecheka mpaka nimeishiwa point ya kuchangia.... Sipati picha ulivyotimua vumbi hadi barabara kubwa maana kuna mwendo pale, si bora sasa hivi kumerahisishwa kidogo kuna boda boda.
Da Asia kumbe unapajua Ununio eh,
Vipi ule muembe pale barabarani umekatwa?
Halafu yule mzee Shamte aliyekuwa mwenyekiti wa kijiji, hivi yuko hai au keshafariki?
 
Last edited by a moderator:
Sasa ukileta kutishiana utaharibu dingi. Niambie tu nilikuwa conceived kwenye ngoma gani. Haiwezekani nikawa sina akili shule kiasi hichi!
I demand to know kabla sijaita kikao cha ukoo

Mwanangu King'asti naomba hii maneno tuimalizie hapa hapa kimya kimya...........
Nakutumia M-Pesa sasa hivi ukanunue ile Blackberry uliyokuwa ukiniulizia kila siku................

Haya mambo ukiyafikisha home kwa mama yako patachiimbika, hebu nisitiri na hii aibu baba yako................LOL
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…