marafiki naomba mnipokee humu ndani, kwani nimekuja na mawazo mazuri ya kujenga taifa letu, je naombeni mniambie marafiki wabaya ni akina nani ili niwaepuke.
Humu hakuna mbaya hata mmoja
Karibu na tunayahitaji mawazo yako sana kujenga nchi yetu na wala usimuone binadam mwenzako ni mbaya ila tofautiana nae kwa hoja za kujenga