Nikaribisheni jamani mimi mgeni

dogo karibu sana hapa jf, na hapa tuna uongozi wetu na bosi member wote hapa jf anaitwa K 4 LIFE huyu jamaa unatakiwa kumheshimu sana hapa jf, kwani ndie anaongoza kwa kutoa mada na post za maana hapa jf. karibu sana ila kiongozi wako anaitwa K 4 LIFE
 
Kamanda uko vizuri kwa kuomba kura hongera na ongeza ubunifu
 
Dogo kalibu ila uku usiwe najazba uwemwanasiasa haswa kama magufuli mana kapita midahii maeneo yaubungo kakutana na wanaukawa ikabidi nayeyeazungushe kuungamkono mabadiliko yakweli kama angekua nahasira siangeamlisha watuwapigwe ilahatamimi ni team lowasa
 
We CCM wewe thubutu kujibu. Ukijibu tu UKAWA bwana zako wanakuoa na ukinyamaza unawaogopa. Haya the choice is urs
 

duuuh!!! lini hii ilitokea??
 
Mida yasaa 8 iyo sianaellekea Biafra kuhutubia wanoungamkono mijizi kiukweli magufuli nimchapakazi shidaipo kwenye nyinyiemu mananikisema ccm namiminioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…