Wana JF nikaribisheni ni mgeni nipo mlangoni
Karibu sana JF.Wana JF nikaribisheni ni mgeni nipo mlangoni
Kama wewe ukawa ujiandae kutukanwa na maccm
Dogo kalibu ila uku usiwe najazba uwemwanasiasa haswa kama magufuli mana kapita midahii maeneo yaubungo kakutana na wanaukawa ikabidi nayeyeazungushe kuungamkono mabadiliko yakweli kama angekua nahasira siangeamlisha watuwapigwe ilahatamimi ni team lowasa
unatokea pande ipi CCM au UKAWA??