NAJA JF-Expert Member Joined Jun 15, 2014 Posts 475 Reaction score 165 Jun 20, 2014 #1 Hodi wenyeji! Mie mwezenu mgeni humu ndani nahitaji kukaribishwa na kupewa maelekezo. Asanteni kwa ukarimu wenu
Hodi wenyeji! Mie mwezenu mgeni humu ndani nahitaji kukaribishwa na kupewa maelekezo. Asanteni kwa ukarimu wenu
Mom Fay JF-Expert Member Joined Feb 21, 2014 Posts 1,059 Reaction score 316 Jun 20, 2014 #2 Karibu Eti
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,563 Reaction score 48,223 Jun 20, 2014 #3 NAJA karibu sana Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,819 Jun 20, 2014 #4 Karibu sana
lara 1 JF-Expert Member Joined Jun 10, 2012 Posts 15,700 Reaction score 29,164 Jun 20, 2014 #5 Karibu sanaa! Jinsia yako tafadhali au ndo wale in between, CUF SI CUF, CHADEMA SI CHADEMA!
Vaislay JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,532 Reaction score 1,829 Jun 20, 2014 #6 Tangaza ndoa harakaa hiyo ndo sheria ya MMU
ROBERT MICHAEL JF-Expert Member Joined Oct 23, 2012 Posts 5,054 Reaction score 2,858 Jun 20, 2014 #7 Karibu sana humu ila usiwe na hasira upingwapo kwenye chochote ukianzishasho zaidi kumuelewesha mpingaji.
Karibu sana humu ila usiwe na hasira upingwapo kwenye chochote ukianzishasho zaidi kumuelewesha mpingaji.
M Masati Member Joined Jan 25, 2014 Posts 30 Reaction score 5 Jun 20, 2014 #8 NAJA said: Hodi wenyeji! Mie mwezenu mgeni humu ndani nahitaji kukaribishwa na kupewa maelekezo. Asanteni k wa ukarimu wenu Click to expand... karibu sana ila ila hujasema unataka maelekezo gani
NAJA said: Hodi wenyeji! Mie mwezenu mgeni humu ndani nahitaji kukaribishwa na kupewa maelekezo. Asanteni k wa ukarimu wenu Click to expand... karibu sana ila ila hujasema unataka maelekezo gani
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jun 21, 2014 #9 karibu sana JF mjomba...............