Hapana yani kuna majina humu itabidi ucheke tuu..mshipa. Gudume . jitu jeusi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji1] [emoji1] Karibu sana JfHapana yani kuna majina humu itabidi ucheke tuu..mshipa. Gudume . jitu jeusi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwahiyo ww ni mtu wa ma-style tofauti?!...Aniva weeeeeZipo nyingi hashndwa chagua . zote ni powa sana
Ewaaaa my dear akikufatwa unitumie ma screenshotHahahaaaa huyo usiwe na shaka nae. Hawezi nifuata maana ni mume Wa mtu tial
Kwahiyo una nywele ndefu?!zinafika kwny mgongo?Amna napenda kubana tuu. Hizo nyingine za kushikana shikana nywele sitaki
Ivi utaratibu wa kuharibiana fursa umeanza lini?Huyo ni shemeji yako my dear akikutongoza uniambie
Mimi nitakufollow PM mremboHahaha hahaha mmoja tuu
Mmh ebu some vizuri niliyemwambiaIvi utaratibu wa kuharibiana fursa umeanza lini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uuwiii. Si ntawaachanisha jamani[emoji1] [emoji1] [emoji1]