Aisee, sasa nimeamini hakuna anayetekwa akasema ni wapi alipokuwepo na nani aliyehusika kumteka, haka katakua kaugonjwa ka taifa.Mzee mwenzangu Nleterewa Nganengo
Mimi nimekuham zaidi kuliko Thad.Nime waham nyote wawili[emoji847][emoji847]
Tumekuham zaidi mpendwa!Nime waham nyote wawili[emoji847][emoji847]
Aisee hupitwi we kifimbo cheza, yeye ameelewa sana.Nleterewa Nganengo,
Umetoa kauli tata.... 'umemham yeye zaidi kuliko ulivyoniham mimi au wewe umemhamu zaidi kuliko nilivyomham mimi'?[emoji848]
Kuhusu I'd nyingine umenifumbua macho ngoja nifungue I'd mpya kisha nije hapa kupiga hodi bila shaka utanikaribisha eeeh?[emoji6]