Darwin Nunez
Member
- Jun 12, 2022
- 90
- 212
Habari wanajamii
Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile
Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani though nilitimuliwa nikarudi tena
Sasa familia imeamua kunipa nafasi ya pili nichague kipi nikasomee either nikaendelee na masters ya ducation masomo ya sanaa au nitafute degree nyingine niisome nikimaliza nitafute kazi
Naombeni ushauri
Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile
Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani though nilitimuliwa nikarudi tena
Sasa familia imeamua kunipa nafasi ya pili nichague kipi nikasomee either nikaendelee na masters ya ducation masomo ya sanaa au nitafute degree nyingine niisome nikimaliza nitafute kazi
Naombeni ushauri