Your browser is not able to display this video.
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
Your browser is not able to display this video.
hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini baadae aliyakana maneno yake
Your browser is not able to display this video.
hapa aliwahaidi wananchi wa kawe kwenda jimbo la Birmingham marekani na wananchi wa Birmingham kuja kawe
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,