Wakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea, msaada wenu wakuu.
Mbona post inajieleza kwa ukamilifu ila wewe ndo umesoma haraka na hujaelewa.ungetoa taarifa zifuatazo
inakula mafuta sana ukilinganisha na nini?
engine ya aina gani?
mwanzo ilikuaje?
Sorry kufunga brake hovyo kunachochea Vipi Ulaji wa Mafuta?Inawezekana. Driving behavior inachangia sana. Inawezekana una accelerate kwa haraka mno, unafunga brake hovyo hovyo, una spidi za hatari nk. Ile rpm huangalii.
Jitahidi kupangilia uendeshaji wako.
Jitahidi ucheze between 80 to 100 km speed. Rpm ya around ya 2 inatosha.
Hivi vijana wa TZ huwa mnamjua kusoma kweli? Mbona post ya huyu mwamba inajieleza! Watu mnakuja na hoja za watu waliokatwa vichwa! Mwenyewe amesema akiendesha yeye inakula mafuta tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo!Kafanye service vizuri.....
lakini pia vile vile cheki na mafundi wakuangalizie mfumo wa mafuta
Haina noma hapa umetupiga.......Hivi vijana wa TZ huwa mnamjua kusoma kweli? Mbona post ya huyu mwamba inajieleza! Watu mnakuja na hoja za watu waliokatwa vichwa! Mwenyewe amesema akiendesha yeye inakula mafuta tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo!
Ha ha haaa, pole mdogo wangu lakini sasa tusiviziane!Haina noma hapa umetupiga.......
ngoja na sisi tukuotee engo zetu tukuchape!
Accelerator hiyo mkuu. Usiitumie kama upo katika mbio.Wakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea, msaada wenu wakuu.
Khaaa🤣🤣🤣aisee hii nchi ngumu sana? Sasa atumie nini kuaccelerate? Handbrake au?Accelerator hiyo mkuu. Usiitumie kama upo katika mbio.
Namna unavyoikanyaga mkuu.Khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee hii nchi ngumu sana? Sasa atumie nini kuaccelerate? Handbrake au?