Nikifa, sio muhimu kwangu kuzikwa kidini. Mbinguni hatuingii kwa kuombewa wala kuswaliwa

Nikifa, sio muhimu kwangu kuzikwa kidini. Mbinguni hatuingii kwa kuombewa wala kuswaliwa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Haya maisha yana mengi, eti niwe jambazi kama Gabi wa UMUGHAKA, Niue watu, niwatapeli watu kwa kuwapa hela feki. Niwe mchawi, nizini na wake wa watu na watoto wao niwape mimba, kisha mizikatae hizo mimba.

Niibe mali ya umma, pesa ya kununua madawa ya watu masikini nikaifiche Switzerland 🇨🇭 halafu nife, aitwe kiongozi wa dini aombee mwili wangu, hakika mimi ni wa motoni.

Bora nizijue siri za ufalme wa mbinguni, niutafute ufalme wa mbinguni na haki yake. Nife katika hali ya haki ma msibani kwangu hao viongozi wa dini wasifike kabisaaaaaaa, nìzikwe tu.

Hakika roho yangu itakuwa imepumzika kwa amani sana. Viongozi wa dini wengi wao ni ma agent shetani. Wao ndio hubariki uchafu wote.

Sikiliza maneno haya
 

Attachments

Pole mzee, mganga wako mkuu Mshana Jr kakwambia unakufa lini?

Wewe hata ukizikwa kichawi ni sawa tu, kwani kwa muda mrefu wewe na Mshana Jr mmekuwa bega kwa bega kufanya kazi zenu za usiku hadharani hapa jukwaani.
 
Hatukuziki kukuridhisha wewe. Ila twakuzika kwa heshima kwa amani ya mioyo ya wanaobaki.

Je, utajisikiaje mwanao akifariki (Mungu aepushie mbali) kabla yako, kisha mwili wake uletewe? Utaenda kuutupa ili uangalie unavyoshambuliwa na mbwa koko ama fisi? Utapata amani?

Mfu hana maumivu, hana hisia. Njia yeyote kwake ni sawa, kasha lake lililobaki halina thamani tena. Lakini, uthamani upo kwa wanaobaki. Ndiyo maana ndugu watapambana waupate mwili wa ndugu yao, wauzike.

Ipo njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12).
 
Haya maisha yana mengi, eti niwe jambazi kama Gabi wa UMUGHAKA, Niue watu, niwatapeli watu kwa kuwapa hela feki. Niwe mchawi, nizini na wake wa watu na watoto wao niwape mimba, kisha mizikatae hizo mimba.

Niibe mali ya umma, pesa ya kununua madawa ya watu masikini nikaifiche Switzerland [emoji1237] halafu nife, aitwe kiongozi wa dini aombee mwili wangu, hakika mimi ni wa motoni.

Bora nizijue siri za ufalme wa mbinguni, niutafute ufalme wa mbinguni na haki yake. Nife katika hali ya haki ma msibani kwangu hao viongozi wa dini wasifike kabisaaaaaaa, nìzikwe tu.

Hakika roho yangu itakuwa imepumzika kwa amani sana. Viongozi wa dini wengi wao ni ma agent shetani. Wao ndio hubariki uchafu wote.

Sikiliza maneno haya
Mambo yote yamemalizwa hapa...
 
Kuna jambazi moja lilisulubiwa pamoja na Yesu, hilo lijamaa liliambiwa na hivi na Yesu mwenyewe "leo hii utakuwa nami peponi"

Siri za kuingia mbinguni tumwachie Yesu mwenyewe.
 
Hatukuziki kukuridhisha wewe. Ila twakuzika kwa heshima kwa amani ya mioyo ya wanaobaki.

Je, utajisikiaje mwanao akifariki (Mungu aepushie mbali) kabla yako, kisha mwili wake uletewe? Utaenda kuutupa ili uangalie unavyoshambuliwa na mbwa koko ama fisi? Utapata amani?

Mfu hana maumivu, hana hisia. Njia yeyote kwake ni sawa, kasha lake lililobaki halina thamani tena. Lakini, uthamani upo kwa wanaobaki. Ndiyo maana ndugu watapambana waupate mwili wa ndugu yao, wauzike.

Ipo njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12).
Kwani mazishi ya kimila hayapo? Labda hayo ndiyo anayotaka azikwe nayo
 
Kuna jambazi moja lilisulubiwa pamoja na Yesu, hilo lijamaa liliambiwa na hivi na Yesu mwenyewe "leo hii utakuwa nami peponi"

Siri za kuingia mbinguni tumwachie Yesu mwenyewe.
Haha haha hah mbinguni tunaingia kwa neema tu, wala sio kwa matendo yetu. Smoke weed, get high, eat well, sleep good that's life
 
Haya maisha yana mengi, eti niwe jambazi kama Gabi wa UMUGHAKA, Niue watu, niwatapeli watu kwa kuwapa hela feki. Niwe mchawi, nizini na wake wa watu na watoto wao niwape mimba, kisha mizikatae hizo mimba.

Niibe mali ya umma, pesa ya kununua madawa ya watu masikini nikaifiche Switzerland 🇨🇭 halafu nife, aitwe kiongozi wa dini aombee mwili wangu, hakika mimi ni wa motoni.

Bora nizijue siri za ufalme wa mbinguni, niutafute ufalme wa mbinguni na haki yake. Nife katika hali ya haki ma msibani kwangu hao viongozi wa dini wasifike kabisaaaaaaa, nìzikwe tu.

Hakika roho yangu itakuwa imepumzika kwa amani sana. Viongozi wa dini wengi wao ni ma agent shetani. Wao ndio hubariki uchafu wote.

Sikiliza maneno haya
Mbinguni hakuna dili, kuanzia asubuhi hadi usiku ni kusifu na kusujudu.

Peponi kuna pisi kali 72 na mito ya pombe nzuri. Ninavyoupenda pombe na mdodoki, kungekuwa na ahadi wanawake wanapewa nini peponi ningechagua pepo.

Ila na kitimoto iwepo.
 
Mbinguni hakuna dili, kuanzia asubuhi hadi usiku ni kusifu na kusujudu.

Peponi kuna pisi kali 72 na mito ya pombe nzuri. Ninavyoupenda pombe na mdodoki, kungekuwa na ahadi wanawake wanapewa nini peponi ningechagua pepo.

Ila na kitimoto iwepo.
Hivi wale wanaobadilisha jinsia, peponi watakuwa na jinsia ipi? Ya asili au ya bandia?
 
Back
Top Bottom