Nikifanikiwa kuzeeka...

Nikifanikiwa kuzeeka...

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
.......Nikifanikiwa kuzeeka

Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra. Nitawaeleza waishi vizuri na watu, Ili wasije kupata tabu.

Nitawasisitizia kuwekeza japo kidogo, kwa kuwa hawajui kesho yao. Nitawaambia kuwa penda utakavyopenda ila Kuna siku utaachwa katika mstari uliopinda sana na hutoamini, lakini ndio maisha wajiandae kupambana.

Nitawaeleza pia kuhusu wanawake na vitimbi vyao na jinsi ya kuishi nao. Sitosahau kuwaambia kuhusu Mungu wao, na jinsi anavyoweza kuwaokoa walipokata tamaa.

Lakini mwishoni nitawakumbusha, washirikiane kadri wawezavyo ila wasisahau kuwa Mwisho wa Ushirika ni kugawana, wajiandae kwa Hilo

Maringo
 
.......Nikifanikiwa kuzeeka

Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra.

Nitawaeleza waishi vizuri na watu, Ili wasije kupata tabu.



Maringo
Jipambanie wewe, wao watapambana kivyao ishi kama wewe usiishi maisha yao
 
Kumbe bado hujapata hao watoto
Basi ndio muda wa kuwaandalia cha kurithi na wewe usiwe kama baba yako
 
Jipambanie wew ,wao watapambana kivyao ishi kama wew usiishi maisha yao
Mimi naamini kwamba pamoja na kujitafutia vya kwangu, ni vema nikawatafutia na wao kwa kiasi. Si kwamba nawadekeza na kuwafanya wajidekeze kwa kujua walishatafutiwa.

La hasha! Ni namna ya kuwafundisha kuwapenda,kuwajali na kutambua uwepo wao.

Tukienda mbali zaidi, kuna familia/watoto wamekuwa wakiachwa bila kitu. Kwamba wakikua wajitafutie kwa jasho lao.

Wengi wao wamekuwa na kuishi kwa shida sana hasa wazazi ambao ndiyo nguzo zao za tangu utoto wanapofariki.Nianavyo basi, ni vema kuwaacha watoto, angalau, na sehemu ya kudumu ya kuishi/nyumba, elimu, upendo, kujitambua na kujithamini wao na wengine wanaowazunguka. Na ikibidi, ni vema kuwaacha hata na rasilimali fedha wawe imara maishani.
 
Mimi naamini kwamba pamoja na kujitafutia vya kwangu,ni vema nikawatafutia na wao kwa kiasi.Si kwamba nawadekeza na kuwafanya wajidekeze kwa kujua walishatafutiwa.La hasha!Ni namna ya kuwafundisha kuwapenda,kuwajali na kutambua uwepo wao.
Tukienda mbali zaidi,kuna familia/watoto wamekuwa wakiachwa bila kitu.Kwamba wakikua wajitafutie kwa jasho lao.Wengi wao wamekuwa na kuishi kwa shida sana hasa wazazi ambao ndiyo nguzo zao za tangu utoto wanapofariki.Nianavyo basi,ni vema kuwaacha watoto,angalau,na sehemu ya kudumu ya kuishi/nyumba,elimu,upendo,kujitambua na kujithamini wao na wengine wanaowazunguka.Na ikibidi,ni vema kuwaacha hata na rasilimali fedha wawe imara maishani.
Hapa nakuunga mguu safi sana
 
Mimi naamini kwamba pamoja na kujitafutia vya kwangu,ni vema nikawatafutia na wao kwa kiasi.Si kwamba nawadekeza na kuwafanya wajidekeze kwa kujua walishatafutiwa.La hasha!Ni namna ya kuwafundisha kuwapenda,kuwajali na kutambua uwepo wao.
Tukienda mbali zaidi,kuna familia/watoto wamekuwa wakiachwa bila kitu.Kwamba wakikua wajitafutie kwa jasho lao.Wengi wao wamekuwa na kuishi kwa shida sana hasa wazazi ambao ndiyo nguzo zao za tangu utoto wanapofariki.Nianavyo basi,ni vema kuwaacha watoto,angalau,na sehemu ya kudumu ya kuishi/nyumba,elimu,upendo,kujitambua na kujithamini wao na wengine wanaowazunguka.Na ikibidi,ni vema kuwaacha hata na rasilimali fedha wawe imara maishani.
Yah umechambua kwa kina mkuu ila sio kuwalea kimayai mayai kila kitu uwaletee mezani, wazazi wakitoweka hizo Mali na pesa watazitumia kuongeza wake na michepuko ya kufaa mutuu
 
.......Nikifanikiwa kuzeeka

Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra.

Nitawaeleza waishi vizuri na watu, Ili wasije kupata tabu.

Nitawasisitizia kuwekeza japo kidogo, kwa kuwa hawajui kesho yao.
Nitawaambia kuwa penda utakavyopenda ila Kuna siku utaachwa katika mstari uliopinda sana na hutoamini, lakini ndio maisha wajiandae kupambana.

Nitawaeleza pia kuhusu wanawake na vitimbi vyao na jinsi ya kuishi nao.
Sitosahau kuwaambia kuhusu Mungu wao, na jinsi anavyoweza kuwaokoa walipokata tamaa.

Lakini mwishoni nitawakumbusha, washirikiane kadri wawezavyo ila wasisahau kuwa Mwisho wa Ushirika ni kugawana, wajiandae kwa Hilo

Maringo
Lakini mwishoni nitawakumbusha, washirikiane kadri wawezavyo ila wasisahau kuwa Mwisho wa Ushirika ni kugawana, wajiandae kwa Hilo
 
.......Nikifanikiwa kuzeeka

Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra.

Nitawaeleza waishi vizuri na watu, Ili wasije kupata tabu.

Nitawasisitizia kuwekeza japo kidogo, kwa kuwa hawajui kesho yao.
Nitawaambia kuwa penda utakavyopenda ila Kuna siku utaachwa katika mstari uliopinda sana na hutoamini, lakini ndio maisha wajiandae kupambana.

Nitawaeleza pia kuhusu wanawake na vitimbi vyao na jinsi ya kuishi nao.
Sitosahau kuwaambia kuhusu Mungu wao, na jinsi anavyoweza kuwaokoa walipokata tamaa.

Lakini mwishoni nitawakumbusha, washirikiane kadri wawezavyo ila wasisahau kuwa Mwisho wa Ushirika ni kugawana, wajiandae kwa Hilo

Maringo
Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra.[emoji1545][emoji1752][emoji848][emoji2827]
 
Yah umechambua kwa kina mkuu,ila sio kuwalea kimayai mayai kila kitu uwaletee mezani ,wazaz wakitowek izo Mali na pesa wataztumia kuongeza wake na michepuko ya kufaa mutuu
Kuwalea kwa kuwadekeza hapana.Hapana kabisa. Ni kama vile mtoto wako amevunja teevee halafu hukumchapa kwa utundu. Badala yake ukamkalisha chini na kumuelekeza na kumuonya kwamba awe makini, muangalifu, mwenye kufikiria kabla ya kutaka kufanya chochote na aache uzembe.Na tabia hiyo aifanye katika kila jambo kwa umakini.

Na vilevile,unamwambia kwamba teevee ni chombo muhimu kinunuliwacho kwa fedha nyingi kiasi lakini hakina thamani kubwa kama mtoto wako/utu wa mtu yeyote.Lakini thamani ya teevee iheshimiwe ili kuonesha kujali,kutunza na kuthamini uwepo na umuhimu wake.Hapo utakuwa umempa "viboko" vikali kwenye akili kuliko viboko halisi na ataelewa unavyomjali kwa kumpatia elimu na maarifa ya maisha.
 
JAMHURI YA VIJANA WA HOVYO aka JAVIHO INAPOKEA MAOMBI YA WANACHAMA WAPYA. KARIBUNI SANA
 
Kuwalea kwa kuwadekeza hapana.Hapana kabisa.Ni kama vile mtoto wako amevunja teevee halafu hukumchapa kwa utundu.Badala yake ukamkalisha chini na kumuelekeza na kumuonya kwamba awe makini,muangalifu,mwenye kufikiria kabla ya kutaka kufanya chochote na aache uzembe.Na tabia hiyo aifanye katika kila jambo kwa umakini.
Na vilevile,unamwambia kwamba teevee ni chombo muhimu kinunuliwacho kwa fedha nyingi kiasi lakini hakina thamani kubwa kama mtoto wako/utu wa mtu yeyote.Lakini thamani ya teevee iheshimiwe ili kuonesha kujali,kutunza na kuthamini uwepo na umuhimu wake.Hapo utakuwa umempa "viboko" vikali kwenye akili kuliko viboko halisi na ataelewa unavyomjali kwa kumpatia elimu na maarifa ya maisha.
Sikupingi mkuu endelea ku expect lakini big expectations ndio zinasababisha matatizo makubwa, muamini kijana asilimia mia tusubiri yajayo
 
.......Nikifanikiwa kuzeeka

Nitawaambia wanangu nitakaojaaliwa, wasifikiri nilicheza kwa kuwa hawajapata urithi wa maana. Niliwahangaikia sana, lakini jitihada haikushinda kudra.

Nitawaeleza waishi vizuri na watu, Ili wasije kupata tabu.

Nitawasisitizia kuwekeza japo kidogo, kwa kuwa hawajui kesho yao.
Nitawaambia kuwa penda utakavyopenda ila Kuna siku utaachwa katika mstari uliopinda sana na hutoamini, lakini ndio maisha wajiandae kupambana.

Nitawaeleza pia kuhusu wanawake na vitimbi vyao na jinsi ya kuishi nao.
Sitosahau kuwaambia kuhusu Mungu wao, na jinsi anavyoweza kuwaokoa walipokata tamaa.

Lakini mwishoni nitawakumbusha, washirikiane kadri wawezavyo ila wasisahau kuwa Mwisho wa Ushirika ni kugawana, wajiandae kwa Hilo

Maringo
Wewe jamaa tangu uingie JF ndio kwanza Leo uongee maneno ya maana
 
Umepanga kupata watoto wa kiume tu? Maana umeshajiandaa kuwaambia vitimbi vya wanawake. Wakike watabidi wapambane na hali zao.
 
Screenshot_20221028-123400.png


Moderator acha hizo basi Mimi sijaelewa kwanin mnafuta?
 
Back
Top Bottom