nikifanya mapenzi na mpenzi wangu navimba sehemu ya chini ya mshipa wa my penis

TONGINDI

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
174
Reaction score
32
nahitaji msaada wadau, kila nikifanya mapenzi napata shida ya kuvimba sehemu ya chini ya penis ambapo nimetahiriwa kama miaka nane iliopita, tatizo hilo limeanza mwaka huu,
kwahiyo siwezi kuendelea mpaka nimeze asprin na kupaka ile sehemu inayovimba ili kidogo patulie kama baada ya masaa 2, baada ya hapo naendelea kukamua vizuri, sasa nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini, na kama naweza kupata matibabu ili nifurahie tendo hilo bila bugudha yoyote. nashukuru.
 
Daah pole sana mkuu, mimi nadhani wakati tunasubiri ushauri wa wataalamu humu jamvini ni busara kama utaenda kumwona daktari. pole sana mkuu
 
Hebu jaribu kumwandaa mwandani wako mapema. usipenetrate hadi uhakikishe nena ina maji ya bamia. usiingie bila kupiga hodi
 
Mapenzi huwa yanafanyika kihalali?? usijekua unaenda kwenye tope alafu utegeme msaada kwetu
 
Mmmmh k zingine ni kavu sana. Sijui niseme ila naona aibu.
 
tafuta demu mwingine ujaribu kama haitatokea mchukue mpenzio mwende hospitali wote usijekuta k ya bidada inasumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…