Nikifarijika na kombora la Samatta

Nikifarijika na kombora la Samatta

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Pamoja na kuwa tumechabangwa na wamasai wa Kenya lakini kuna touch and shoot ya samata ilioZaa goli kupitia kwa msuva
Lilikuwa shoot hatari lilikuwa na speed ya 90/sec
Kwahiyo touch moja tu litaweza kumrahisishia kwa kiasi kikubwa kusajiliwa na timu za EPL

It was a fantastic and magnetic touch hiyi ndio inatofautisha professional na wachezaji wengine
Shoot kama lile msimu huu nimeliona Mara moja tu msimu huu Tanzania ambapo John bocco aliwatungua biashara united kule musoma
Imebidi ni wapongeze tu kwa kuwa hata nikiwalaumu hawana uwezo wa kwenda zaidi ya pale

Udhaifu wa kocha kusoma mchezo Na kubadilika

Jana timu yetu ilikuwa na nafasi kubwa sana kuibukuka na ushindi kama kocha angewazuia wachezaji wasicheze faulo karibu na 18 ama mipira ya kona

Kocha wa Kenya alitambua wachezaji wetu wengi ni wafupi hivyo mpira ya kutengwa na mipira ya kona ndio iliyotuadhibu zaidi kwasababu wachezaji wengi wa Kenya ni warefu

Wachezaji wote jana walijituma sana ila tunahitaji kocha mwingine kocha atakayeelewa kazingira ya wachezaji wetu

Faridi musa na erasto nyoni jana ndio walisababisha timu isiwe na papara kama mechi liyopita
 
Kukesha unaiombea Taifa Stars ushindi ni matumizi mabaya ya maombi.Mimi nilijaribu.Ghafula nikasikia sauti ikisema, USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO.”Alisikika mzalendo mmoja akisema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha hah

Smart guy

Smart guy
 
Kukesha unaiombea Taifa Stars ushindi ni matumizi mabaya ya maombi.Mimi nilijaribu.Ghafula nikasikia sauti ikisema, USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO.”Alisikika mzalendo mmoja akisema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh, watu mna maneno! Hili linahitaji mjadala katika round table ya viongozi wa maombi!
 
Na kuna lile lingine kipa alilicheza dkk ya 85+ kama sikosei.
Pamoja na kuwa tumechabangwa na wamasai wa Kenya lakini kuna touch and shoot ya samata ilioZaa goli kupitia kwa msuva
Lilikuwa shoot hatari lilikuwa na speed ya 90/sec
Kwahiyo touch moja tu litaweza kumrahisishia kwa kiasi kikubwa kusajiliwa na timu za EPL

It was a fantastic and magnetic touch hiyi ndio inatofautisha professional na wachezaji wengine
Shoot kama lile msimu huu nimeliona Mara moja tu msimu huu Tanzania ambapo John bocco aliwatungua biashara united kule musoma
Imebidi ni wapongeze tu kwa kuwa hata nikiwalaumu hawana uwezo wa kwenda zaidi ya pale

Udhaifu wa kocha kusoma mchezo Na kubadilika

Jana timu yetu ilikuwa na nafasi kubwa sana kuibukuka na ushindi kama kocha angewazuia wachezaji wasicheze faulo karibu na 18 ama mipira ya kona

Kocha wa Kenya alitambua wachezaji wetu wengi ni wafupi hivyo mpira ya kutengwa na mipira ya kona ndio iliyotuadhibu zaidi kwasababu wachezaji wengi wa Kenya ni warefu

Wachezaji wote jana walijituma sana ila tunahitaji kocha mwingine kocha atakayeelewa kazingira ya wachezaji wetu

Faridi musa na erasto nyoni jana ndio walisababisha timu isiwe na papara kama mechi liyopita
 
Back
Top Bottom