Nikihitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani Shilingi ngapi kwa siku naweza ingiza?

John Mwakasege

New Member
Joined
Jul 16, 2024
Posts
1
Reaction score
3
Habari, ningependa kufahamu nikiwa mmiliki wa pikipiki Dar es salaam na nikahitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani tsh ngapi kwa siku naweza ingiza. Pikipiki yangu na naendesha mwenyewe. Kuna gharama zipi za uendeshaji pia.
 
Habari, ningependa kufahamu nikiwa mmiliki wa pikipiki Dar es salaam na nikahitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani tsh ngapi kwa siku naweza ingiza. Pikipiki yangu na naendesha mwenyewe. Kuna gharama zipi za uendeshaji pia.
well, inategemea na route zako utakazopata kupitia hao uber/bolt na zile zingine za kujiongeza nje ya bolt/uber

Gharama zingine za uendeshaji ni zilezile tu...

ila hapa mwanzo hakikisha umekamilisha taratibu zote za kujiunga nao....leseni,bima, latra n.k
 
Pitia huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…