Nikiisikia hii Kauli ya Kitoto, ya Kishamba na Kipuuzi kutoka kwa mwana Simba SC, basi nitamuombea Msamaha kwa Mungu katika Maombi yangu ya Leo

Nikiisikia hii Kauli ya Kitoto, ya Kishamba na Kipuuzi kutoka kwa mwana Simba SC, basi nitamuombea Msamaha kwa Mungu katika Maombi yangu ya Leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Penati ni halali labisa kwani ni Upumbavu tu wa Mabeki wetu ( hasa aliyesababisha Penati Hussein Kazi kutokuwa na Akili ya kufanya Tactical Tackling kwa Mchezaji mzoefu na mwenye Akili Kubwa za Kimpira ) Aziz K Burkinabe Finest.ambaye nina Ushaidi ilikuwa aje Simba SC ila Tajiri Kibyongp akaichungulia Hela yake.

Goli la Pili wala siyo Offside ( na hapa nawataka nendeni au fuatilieni Sheria za Offside ili mjifunze ) na kilichotokea pale ni Uwezo mkubwa wa Kiakili wa Mfungaji Gwede dhidi ya Uwezo mdogo na Ukabaji wa Kimazoea walionao Mabeki wetu kisha akamchambua Kipa Kiuweledi na Kutufunga la Pili.

Goli la Simba SC la Fred nalo ni zuri kwani kalifunga katika Mazingira magumu japo Simkubali ndani ya Simba SC. Wanasimba Wenzangu tukubalini tu kuwa kwa sasa Yanga SC wapo bora zaidi yetu kwa kila Kitu japo juzi tuliaminishwa Kipuuzi kuwa Sisi ni Timu Tajiri EAC wakati hata tu Kuwalipa vyema Wachezaji wetu bado hatuwezi ( yaani tunademadema ) tu.

Wana Yanga SC wote ninaendelea Kuwapongezeni kwa Kutufunga mtakavyo na kila wakati. Hakika mnastahili sana.

Jitahidi sana kama Wewe ni Mkristo na leo una nafasi basi uende Kanisani Kusali kwani Mungu nidiyo kila Kitu sawa?
 
Penati ni halali labisa kwani ni Upumbavu tu wa Mabeki wetu ( hasa aliyesababisha Penati Hussein Kazi kutokuwa na Akili ya kufanya Tactical Tackling kwa Mchezaji mzoefu na mwenye Akili Kubwa za Kimpira ) Aziz K Burkinabe Finest.ambaye nina Ushaidi ilikuwa aje Simba SC ila Tajiri Kibyongp akaichungulia Hela yake.

Goli la Pili wala siyo Offside ( na hapa nawataka nendeni au fuatilieni Sheria za Offside ili mjifunze ) na kilichotokea pale ni Uwezo mkubwa wa Kiakili wa Mfungaji Gwede dhidi ya Uwezo mdogo na Ukabaji wa Kimazoea walionao Mabeki wetu kisha akamchambua Kipa Kiuweledi na Kutufunga la Pili.

Goli la Simba SC la Fred nalo ni zuri kwani kalifunga katika Mazingira magumu japo Simkubali ndani ya Simba SC. Wanasimba Wenzangu tukubalini tu kuwa kwa sasa Yanga SC wapo bora zaidi yetu kwa kila Kitu japo juzi tuliaminishwa Kipuuzi kuwa Sisi ni Timu Tajiri EAC wakati hata tu Kuwalipa vyema Wachezaji wetu bado hatuwezi ( yaani tunademadema ) tu.

Wana Yanga SC wote ninaendelea Kuwapongezeni kwa Kutufunga mtakavyo na kila wakati. Hakika mnastahili sana.

Jitahidi sana kama Wewe ni Mkristo na leo una nafasi basi uende Kanisani Kusali kwani Mungu nidiyo kila Kitu sawa?
Msitari wa mwisho umenishitua, umecha ulozi?
 
Umeongea kiume , kweli alizidi hakupigiwa pass ,akarudi kuwazunguka mabeki na ndipo akapigiwa pass na kufunga

Bila matapeli kuondoka Simba na uwekezaji kusukwa upya ...tutaendelea kufungwa sana na yanga hatihati nafasi ya pili isituhusu
 
Penati ni halali labisa kwani ni Upumbavu tu wa Mabeki wetu ( hasa aliyesababisha Penati Hussein Kazi kutokuwa na Akili ya kufanya Tactical Tackling kwa Mchezaji mzoefu na mwenye Akili Kubwa za Kimpira ) Aziz K Burkinabe Finest.ambaye nina Ushaidi ilikuwa aje Simba SC ila Tajiri Kibyongp akaichungulia Hela yake.

Goli la Pili wala siyo Offside ( na hapa nawataka nendeni au fuatilieni Sheria za Offside ili mjifunze ) na kilichotokea pale ni Uwezo mkubwa wa Kiakili wa Mfungaji Gwede dhidi ya Uwezo mdogo na Ukabaji wa Kimazoea walionao Mabeki wetu kisha akamchambua Kipa Kiuweledi na Kutufunga la Pili.

Goli la Simba SC la Fred nalo ni zuri kwani kalifunga katika Mazingira magumu japo Simkubali ndani ya Simba SC. Wanasimba Wenzangu tukubalini tu kuwa kwa sasa Yanga SC wapo bora zaidi yetu kwa kila Kitu japo juzi tuliaminishwa Kipuuzi kuwa Sisi ni Timu Tajiri EAC wakati hata tu Kuwalipa vyema Wachezaji wetu bado hatuwezi ( yaani tunademadema ) tu.

Wana Yanga SC wote ninaendelea Kuwapongezeni kwa Kutufunga mtakavyo na kila wakati. Hakika mnastahili sana.

Jitahidi sana kama Wewe ni Mkristo na leo una nafasi basi uende Kanisani Kusali kwani Mungu nidiyo kila Kitu sawa?
CC Kalpana, Mshana Jr
 
Penati ni halali labisa kwani ni Upumbavu tu wa Mabeki wetu ( hasa aliyesababisha Penati Hussein Kazi kutokuwa na Akili ya kufanya Tactical Tackling kwa Mchezaji mzoefu na mwenye Akili Kubwa za Kimpira ) Aziz K Burkinabe Finest.ambaye nina Ushaidi ilikuwa aje Simba SC ila Tajiri Kibyongp akaichungulia Hela yake.

Goli la Pili wala siyo Offside ( na hapa nawataka nendeni au fuatilieni Sheria za Offside ili mjifunze ) na kilichotokea pale ni Uwezo mkubwa wa Kiakili wa Mfungaji Gwede dhidi ya Uwezo mdogo na Ukabaji wa Kimazoea walionao Mabeki wetu kisha akamchambua Kipa Kiuweledi na Kutufunga la Pili.

Goli la Simba SC la Fred nalo ni zuri kwani kalifunga katika Mazingira magumu japo Simkubali ndani ya Simba SC. Wanasimba Wenzangu tukubalini tu kuwa kwa sasa Yanga SC wapo bora zaidi yetu kwa kila Kitu japo juzi tuliaminishwa Kipuuzi kuwa Sisi ni Timu Tajiri EAC wakati hata tu Kuwalipa vyema Wachezaji wetu bado hatuwezi ( yaani tunademadema ) tu.

Wana Yanga SC wote ninaendelea Kuwapongezeni kwa Kutufunga mtakavyo na kila wakati. Hakika mnastahili sana.

Jitahidi sana kama Wewe ni Mkristo na leo una nafasi basi uende Kanisani Kusali kwani Mungu nidiyo kila Kitu sawa?
fred kafunga goli zuri na kawagalagaza top defenders wa nchi mwamnyeto na bacca
 
fred kafunga goli zuri na kawagalagaza top defenders wa nchi mwamnyeto na bacca
Alipoingia Mamnyeto tu watu wengi kibandani waliamini lazima Simba itapata goli hata moja. Mwamnyeto ameshuka sana kiwango. Alipokuwa Yao, safu ya ulinzi ilikuwa ipo balanced na compact unaona wanafanya marking vizuri na hawaachi mianya. Ila kuingia Mwamnyeto tu safu ya ulinzi ikaanza kuacha mianya. Mwamnyeto anawafanya wenzie wacheze namba zaidi ya moja ili kumsaidia.
 
Alipoingia Mamnyeto tu watu wengi kibandani waliamini lazima Simba itapata goli hata moja. Mwamnyeto ameshuka sana kiwango. Alipokuwa Yao, safu ya ulinzi ilikuwa ipo balanced na compact unaona wanafanya marking vizuri na hawaachi mianya. Ila kuingia Mwamnyeto tu safu ya ulinzi ikaanza kuacha mianya. Mwamnyeto anawafanya wenzie wacheze namba zaidi ya moja ili kumsaidia.
Kuna kupanda na kushuka pia.
 
fred kafunga goli zuri na kawagalagaza top defenders wa nchi mwamnyeto na bacca
Na matokeo ya mwisho yalikuwaje? au huko Kuwakalisha chini hao Top Defenders wa nchi na Yanga SC ndiyo Kombe letu la mwaka huu? Huwa nachukia sana Hopeless Football Fans of your type.
 
Popoma Kuna muda unakua na akili,ila shida wingu likishatoka
Wewe Pimbi umenifanya nicheke hadi kuna Njemba jirani hapa inanishangaa. Eti shida Wingu likishatoka. Kila nikiiona hii Post najikuta Nacheka tu. Haya bhana....!!
 
Mstari wa mwisho broo kongole kweli Kampala imekubadilisha
Hopefully itanibadilisha sana Mkuu. Kwahiyo Kawe, Masaki na Mapinga Bagamoyo kumeniharibu Mkuu wangu? Nimecheka mno tu.
 
Back
Top Bottom