Nenda hospitali ukapime. Uwezekano mkubwa ni kuwa una MINYOO. Kama huna basi una allergy ya kitu fulani labda chakula, nguo, mafuta, manukato, vumbi, baridi etc... Ni juu yako kutafuta hicho kitu mwenyewe. Itabidi utengeneze chati.
Anza na mafuta, sabuni, vumbi, baridi na manukato halafu nguo.
Malizia na chakula japo inaweza kukuchukua muda mrefu sana hata kabla hujagundua.
Kila la heri.