Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
Mara nyingi ni minyoo..
Tumia dawa za minyoo
Inaonyesha Engineer amekaa muda mrefu bila kutumia dawa za minyoo. Kila baada ya 3 months muhimu sana kutumia dawa za minyoo especially kwa watoto.Dawa za minyoo zinakuhusu tena yako ni sugu
Fua boxer zako kijana ikiwezekana uwe unazipiga pasiNiaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Bila shaka nimefanya kitu inaitwa Right content into the wrong group..
Just because wengi mko ACTIVE zaidi huku....
Sasa mazee leo sina story za demu wangu wala wanaume wa mikoani...
Tatizo langu binafsi ya kiafya tuu..
Nikikaa muda mrefu chini (kwenye Kiti) nawashwa sana marocker yangu...
Yanawasha mpaka Natamani nivue hadi Boxer nikajiparue parue ukutani...
Hii imekaaje.. Kuna mwingine huwa anawashwa makalio kama mimi au nitakua na tatizo mazee....
Yaan Nikikaa kama nusu saa na kuendelea chini Matakko yanaanza kuniwasha kishenz yan...
Mliosomea Medicine jamani...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Afadhari mkuu na wewe umegundua hilo huyu dogo anaonekana ni mchafu sana ,hazingatii usafi wa nguo za ndani si ajabu ukakuta hata kuoga haogiPia uwe unafua boxer zako.na ukifua uhakikishe zinakauka
Kunywa dawa za minyoo mkuu.I mean itNiaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Bila shaka nimefanya kitu inaitwa Right content into the wrong group..
Just because wengi mko ACTIVE zaidi huku....
Sasa mazee leo sina story za demu wangu wala wanaume wa mikoani...
Tatizo langu binafsi ya kiafya tuu..
Nikikaa muda mrefu chini (kwenye Kiti) nawashwa sana marocker yangu...
Yanawasha mpaka Natamani nivue hadi Boxer nikajiparue parue ukutani...
Hii imekaaje.. Kuna mwingine huwa anawashwa makalio kama mimi au nitakua na tatizo mazee....
Yaan Nikikaa kama nusu saa na kuendelea chini Matakko yanaanza kuniwasha kishenz yan...
Mliosomea Medicine jamani...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Fua boxer zako kijana ikiwezekana uwe unazipiga pasi
Tatizo lako kwa namna moja au nyingine inatokana na kuvaa boxer muda mrefu pia kuvaa boxer mbichi mara kwa mara
Afadhari mkuu na wewe umegundua hilo huyu dogo anaonekana ni mchafu sana ,hazingatii usafi wa nguo za ndani si ajabu ukakuta hata kuoga haogi
Angalia minyoo jamaa
Kunywa dawa za minyoo mkuu.I mean it
Kupatwa kwa muwasho kwa engineer
Ila engineer 'demu' wako si anajua unawashwa?
Usinitukane