Nikikukuta Mbinguni, nitaaanzisha maandamano.

Nikikukuta Mbinguni, nitaaanzisha maandamano.

funluverx

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
480
Reaction score
343
Tulikuwa wapenzi miaka kadhaa nyuma.
Tukaachana kwa amani.

Majuzi tukakutana ghafla tena,
Yeye akiwa Kaolewa na Vitoto viwili vizuuriii pacha.
Kiukweli kapendeza hadi Udenda unanichuruzika.Ila, nikawa nashindana na shetani wa matamanio,
Shetani shindwa!!

Lawama kibao ananimwagia;
"una tabia mbaya, umenitenga,sipendi, tutafutane bwana".
Hiyo ni baada ya kubailishana namba.

Siku sina hili wala lile napata simu yake na baada ya salamu,
"Oya mbona unazingua jamaa (Mume wake) hayupo wewe tutafutane mwenzako nimekumiss sana.
Kisha, sikiliza;mimi sijali kuwa una mtu au huna, jua tu sasahivi nafanya-timing bwana wangu akiwa anakaribia kurudi
Dar nitakupa mambo hadi nikuzalie mtoto" hatastukia na yote niachie mimi.
Sitaki maelezo, Simu tiiiittiiiii.

Hadi nimepigwa ganzi baada ya kuupata ujumbe huu.
Yaani achilia mbali dhambi ya kuchepuka nami yeye anataka eti, tuzae.

Wanawake mungu anawaona.
 
Sms kama hizi zinazidi kunikatisha tamaa ya kuoa

Huyu ni muongo, anapenda tu kusema kuwa wanawake ni wachafu.

Hakuna mwanamke mwenye guts za kuongea hivyo kwa x wake.

Kama ana vimapacha vizuri anataka nini kuzaa na huyo walioachana kiungwana kabisa.
 
Huyu ni muongo, anapenda tu kusema kuwa wanawake ni wachafu.

Hakuna mwanamke mwenye guts za kuongea hivyo kwa x wake.

Kama ana vimapacha vizuri anataka nini kuzaa na huyo walioachana kiungwana kabisa.
Hakuna namna ya kulithibitisha hilo na wala silazimiki kufanya hivyo ila sikulazimishi pia wewe uniamini na wala siongezi kitu kwa kulileta hilo hapa.
Sasa unaouamuzi wa kumeza au kutema.
 
Huyu ni muongo, anapenda tu kusema kuwa wanawake ni wachafu.

Hakuna mwanamke mwenye guts za kuongea hivyo kwa x wake.

Kama ana vimapacha vizuri anataka nini kuzaa na huyo walioachana kiungwana kabisa.
Usimtetee mwanamke mwenzio ni moja ya kumi wanaoweza kuwa na huo msimamo wako......mboo tamu sana
 
Back
Top Bottom