The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuka wanaJF,
Tulikuwa na katabia fulani na marafiki zangu kuandika maandishi kwenye vioo vya magari yaliyochafuka na vumbi.
Sasa kuna siku gari la TANAPA lilipaki kitaa yani limechafuka na vumbi kichizi na mimi hulka yangu ni usafi toka udogon. Nilimaindi nikaenda nakuandika NIOSHENI AISEE MBONA NYIE MNAOGA? Kumbe dereva alikuwa kaniona nilishtukizia buti kali la kalio nilisepa kuelekea upande wa akina Lemaaa na Lauuu.
Tulikuwa na katabia fulani na marafiki zangu kuandika maandishi kwenye vioo vya magari yaliyochafuka na vumbi.
Sasa kuna siku gari la TANAPA lilipaki kitaa yani limechafuka na vumbi kichizi na mimi hulka yangu ni usafi toka udogon. Nilimaindi nikaenda nakuandika NIOSHENI AISEE MBONA NYIE MNAOGA? Kumbe dereva alikuwa kaniona nilishtukizia buti kali la kalio nilisepa kuelekea upande wa akina Lemaaa na Lauuu.