Nikikumbuka nilivyowabeba Sarpong na Moringa terminal 3 sina hamu na GSM

Nikikumbuka nilivyowabeba Sarpong na Moringa terminal 3 sina hamu na GSM

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nilipigwa na jua toka asubuhi mpaka saa nane Sarpong sababu ya kikungoja wewe,kumbe hata danadana hujui kupiga,
Moringa aka Falcao, tukaambiwa alikuwa anatakiwa PSG leo yupo Namungo.
GSM mna dhambi sana
 
Nilipigwa na jua toka asubuhi mpaka saa nane Sarpong sababu ya kikungoja wewe,kumbe hata danadana hujui kupiga,
Moringa tukaambiwa alikuwa anatakiwa PSG leo yupo Namungo.
GSM mna dhambi sana
[emoji23][emoji23][emoji23] hatimaye yaliyo pita yawa ndwele
 
Nilipigwa na jua toka asubuhi mpaka saa nane Sarpong sababu ya kikungoja wewe,kumbe hata danadana hujui kupiga,
Moringa aka Falcao, tukaambiwa alikuwa anatakiwa PSG leo yupo Namungo.
GSM mna dhambi sana
weka picha tuone
 
Mweka hazina wa vijana wa hovyo nchini anawasilisha hoja yake
 
Back
Top Bottom