Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe umezaliwa baada ya tendo la ndoa, tusipende kulaumu kila jamboPole kwa hilo ndugu, pole sana
lLA
Ndugu yangu hakuna mtu anaekulazimisha uopoe demu.
Hii sentence ya mwisho umeandika "ipo siku mtaombwa nini"?Wataalamu feki
Kwanini wasitengeneze ARV mbona jirani wanatengeneza ?
Sisi hata vyoo tunaomba
Trump anawaamsha mjitegemee
Ombaomba imewaharibu
Ipo siku hata mikopo mtanyimwa
je wale wanaobakwa au kuambikzwa na watu kwa makusudiUwamuzi ni wako tumia Kinga au ujiue
Trump minne tena
Trump tunamlaumu bure.Wamerekani jaribu kutuonea huruma msije mkazuia kutupa Dawa za Ukimwi.
Maana hata miaka ya 1990s Dawa zilikuepo but it was too expensive.
I lost 8 siblings and two parents .
Aisee itakuwa noma
Vipi malariaSio ukimwi tu, ugonjwa wowote hauzoeleki ni hasara,mateso na maumivu
Mbona unanilisha maneno?Hii sentence ya mwisho umeandika "ipo siku mtaombwa nini"?
.....Ila Nyi vijana wa 2000 ni wa hovyo sana
mkuu acha kabisa malaria ni hatari kila mwaka inaua sio chini ya watu 200M, me mwenyewe imenitesa sana tokea mdogo nimefanyiwa BT za kutosha make inaleta Anaemia, namshukuru MUNGU tokea 2016 sijafanya BTVipi malaria
Wamerekani jaribu kutuonea huruma msije mkazuia kutupa Dawa za Ukimwi.
Maana hata miaka ya 1990s Dawa zilikuepo but it was too expensive.
I lost 8 siblings and two parents .
Aisee itakuwa noma
Dalili za anaemia ni zipimkuu acha kabisa malaria ni hatari kila mwaka inaua sio chini ya watu 200M, me mwenyewe imenitesa sana tokea mdogo nimefanyiwa BT za kutosha make inaleta Anaemia, namshukuru MUNGU tokea 2016 sijafanya BT