Nikikumbuka ya Ame Ali na Bakari Mwamnyeto nacheka sana

Nikikumbuka ya Ame Ali na Bakari Mwamnyeto nacheka sana

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Wakati wanasajiliwa kutoka Coast Union hawa mabeki mmoja akienda Simba na mwingine Yanga wachambuzi walichonga sana, eti Ame Ali ndio alikuwa beki wa kweli na Nondo alikuwa anapita kwenye kivuli cha Ame Ali.

Bakari wakati anahamia Yanga aliwakuta mabeki haswa. Lamire Moro akiwa captain na beki kisiki akiwa na goals 4 mkononi.

Baada ya muda kupita haijulikani huyo Ame allpotelea wapi wakati mwenzake kwasasa ni beki kisiki kwa Club yake na timu ya Taifa. Hongera sana Mwamnyeto umejua kuwashushua wachambuzi maandazi.


FB_IMG_16941842817114099.jpg
FB_IMG_16941842778677180.jpg
 
Kila MTU ana Uhuru wa kutoa maoni Mkuu. Pia hakuna binadamu anaejua kesho atakuwa juu au chini kwenye kile anachokifanya,
Mfano tu vipi kama yule aliyesajiliwa na Simba angekua kwenye peak kuliko Huyo aliyesajiliwa Yanga.
NB: Ndo maana kila timu inamchezaji inayemtegemea, hawawezi kuwa sawa timu nzima.
 
Kila MTU ana Uhuru wa kutoa maoni Mkuu. Pia hakuna binadamu anaejua kesho atakuwa juu au chini kwenye kile anachokifanya,
Mfano tu vipi kama yule aliyesajiliwa na Simba angekua kwenye peak kuliko Huyo aliyesajiliwa Yanga.
NB: Ndo maana kila timu inamchezaji inayemtegemea, hawawezi kuwa sawa timu nzima.
Tatizo sio uhuru wa kutoa maoni,bali ni pale hawa wachambuzi wetu uchwara wanapotoa hitimisho kuwa fulani ataishia hivi au vile bila kuweka akiba ya maneno. Kiufupi wachambuzi wetu wanaongozwa sana na unazi,chuki na husda.
 
S
Kwa Tanzania, Yanga na Mtibwa wanajitahidi sana kuwakuza na kuwaimarisha wachezaji wenye vipaji.

Huku Azam na simba nazo zikiongoza kwa kuua vipaji vya wachezaji wanao wasajili kwa mbwembwe na mikwara mingi.
Sio kweli usiongee kiushabiki
 
Wakati wanasajiliwa kutoka Coast Union hawa mabeki mmoja akienda Simba na mwingine Yanga wachambuzi walichonga sana, eti Ame Ali ndio alikuwa beki wa kweli na Nondo alikuwa anapita kwenye kivuli cha Ame Ali.

Bakari wakati anahamia Yanga aliwakuta mabeki haswa. Lamire Moro akiwa captain na beki kisiki akiwa na goals 4 mkononi.

Baada ya muda kupita haijulikani huyo Ame allpotelea wapi wakati mwenzake kwasasa ni beki kisiki kwa Club yake na timu ya Taifa. Hongera sana Mwamnyeto umejua kuwashushua wachambuzi maandazi.


View attachment 2743334View attachment 2743335
Katika wachambuzi mahiri ambao wanaitendea haki kazi yao ni mzee wa data Ramadhan Mbwaduke. Wengi nawaona ni wanaendeshwa na mihemko pamoja na kupiga ramli tu.
 
Simba hata aziz ki hachezi msimu mzima atacheza namba ya nani mama yake alimwambia aende yanga ili apate nafasi ya kucheza we unadhani simba ni sawa na yanga mpaka kisinda alikuwa panga pangua.
 
Wakati wanasajiliwa kutoka Coast Union hawa mabeki mmoja akienda Simba na mwingine Yanga wachambuzi walichonga sana, eti Ame Ali ndio alikuwa beki wa kweli na Nondo alikuwa anapita kwenye kivuli cha Ame Ali.

Bakari wakati anahamia Yanga aliwakuta mabeki haswa. Lamire Moro akiwa captain na beki kisiki akiwa na goals 4 mkononi.

Baada ya muda kupita haijulikani huyo Ame allpotelea wapi wakati mwenzake kwasasa ni beki kisiki kwa Club yake na timu ya Taifa. Hongera sana Mwamnyeto umejua kuwashushua wachambuzi maandazi.


View attachment 2743334View attachment 2743335
Ame ali hakua beki ni foward aliewahi kucheza azam na mtibwa nafikiri unamuongelea ibrahim ame
 
Back
Top Bottom