Nikila pilipili au kinywaji cha baridi sana napata kwikwi, je kuna madhara kiafya?

lizzy3639

Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
42
Reaction score
25
Ndugu zangu wenye taaluma ya afya ya binadamu, naomba kuulizwa swali dogo tu ambalo limenitatiza kwa muda mrefu sasa bila majibu.

Swali:
Kila ninapokula pilipili au kinywaji cha baridi sana haswa Bia inanipelekea kupata kwikwi, je kuna uhusiano gani ya vitu hivyo tajwa na kwikwi na je kiafya kuna madhara yoyote au ni kitu cha kawaida? Na kama cha kawaida mbona wengine hakiwatokei?

Naomba msaada wenu

Asante
 
Kuna madhara mengi sana unapo tumia bia acha mara moja tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…