Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
sijui ndio dalili za umasikini hizi au. Yani nikiwa naka pesa kidogo ndani ya nyumba nahisi kama navamiwa vile. So nawaza siku moja mungu akanibariki nikawa na minoti sijui hali itakuwaje maana haka kalaki tu, usingizi sipati!
Fungua bank account
Wewe kweli used
Sijui ndio dalili za umasikini hizi au. Yani nikiwa naka pesa kidogo ndani ya nyumba nahisi kama navamiwa vile. So nawaza siku moja Mungu akanibariki nikawa na minoti sijui hali itakuwaje maana haka kalaki tu, usingizi sipati!
Sijui ndio dalili za umasikini hizi au. Yani nikiwa naka pesa kidogo ndani ya nyumba nahisi kama navamiwa vile. So nawaza siku moja Mungu akanibariki nikawa na minoti sijui hali itakuwaje maana haka kalaki tu, usingizi sipati!
hivi watoto wa mbwa hawapitagi jf??
Make chunga wasije wakakuvamia
Yaani hiyo ni hela ya lunch.