Husika na kichwa cha habari jana ilikuwa siku ya pili nasumbuliwa gas tumboni nashindwa kulala usiku nikikaa kitandani haliumi nikilala tu linaanza.
Nilishawahi kusumbuliwa na ili tatizo but halikuwa ivi niliambiwa ilisababishwa na ratiba mbovu za kula na vyakula nikawa natembea na magnesium kama hela vile.
Please ambaye alishawahi kusumbuliwa na tumbo kujaa gas naomba aniambie natural stuffs zakutumia izi magnesium kweli nimezichoka.