hiv kwanini watu wapendanao wanapenda sana kuitana majina mazuri ya kimapenzi kwa kiingereza kama vile my honey,my sweet,my watermelon,my torch, kwani haya yakisemwa kwa kiswahili si nimazur tu kama vile asali yangu,utamu wangu ukiingia kwa undani utasema titikiti maji langu kurunzi yangu alafu kwenye kumalizia utasema KIAZI MBATATA CHANGU
JANA NDO NIMETOKA JAMAICA KUSOMA NANILIU