Nikimaliza chuo

Nikimaliza chuo

hyassin92

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
584
Reaction score
634
Nikimaliza chuo staki kuajiriwa ntafanya mishe zangu..
MISHE ZANGU:[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20200430_115824.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi

Mbona unatumia neno ‘siku chache hizi’ kwani zimebaki ngapi.?
 
Upo sawa , mkiwa chuo ukimuuliza mwenzako anakuambia naenda kupiga mishe zangu mtaani.

Akifika mtaani anaanza kuhangaika na mabahasha
 
Back
Top Bottom