Nikimsikiliza Lusinde na Msukuma kisha nikaja kimsikiliza huyu Bashiru; naiona elimu ya juu haina maana kabisaaa!

Nikimsikiliza Lusinde na Msukuma kisha nikaja kimsikiliza huyu Bashiru; naiona elimu ya juu haina maana kabisaaa!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Hawa wawili wako real, wanaeleweka misimamo yao kitambo tu na wanaisimamia na wanaujua uhalisia mwingi wa hali halisi ya watanzania. Sijapata kumuona Msukuma akiwa kigeugeu; anaipigania bangi hadi leo. Sijapata kumuona Lusinde kigeugeu kwa viongozi wake.

Nikimuangalia bashiru, naona ni mtu ambaye hajui hata anachokisimamia. Yupo yupo tu na lundo la makaratasi aliyokabidhiwa kama ushahidi wa kukariri kwake. Ukiuchukulia usomi, halafu ukamfuatilia dr huyu unaweza kukata tamaa kabisa ya kusoma!!! Haki ya nani tena!
 
Back
Top Bottom