Nikimtekenya mke wangu huwa hachekelei!

Sikuwahi kujua kama kutekenya kunaweza kunusuru ndoa.

Pia sikuwahi kujua kama mtu asipocheka akitekenywa, basi ndoa inakua mashakani.

The world is full of suprises!

[emoji39][emoji39][emoji39]
Hata miguno hamna mkuu, huoni ni tatizo hilo!
 
nipe namba yake nmtekenye kwa niaba yako lazma atacheka mkuu
 
Hahahaaa haa unamtekenya kwani yeye mtoto!? Kwanini umlazimishe kucheka wakati unamkarahisha! Jirekebishe bhna
 
Kutekenywaje sasa,,,yani siku mtu(Mr) arogwe anitekenye,,ntampa booonge la kofi
 
Muwekee Ile comedy ya Mzee majuto inaitwa Gwedegwede atacheka tuu
 
Unamtekenya kichwani atachekaje sasa?
Jifunze kutekenya mahali panapotekenyeka
 
Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..

Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..

Msaada jamani!
ndio ujijue una kibamia hakitekenyi ipasavyo ndio maana hacheki
 
Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..

Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..

Msaada jamani!


Hapa kuna uwalakini tu na siamini kama kweli mikono ama vidole vyako vina gundu, kwa sababu mi nikimtekenya mbona anafurahia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…