mohamedidrisa789 JF-Expert Member Joined Jun 20, 2015 Posts 5,258 Reaction score 22,552 Jul 28, 2021 #21 SAGAI GALGANO said: Mimi ninachojua ni kuwa Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusa nchi hii Click to expand... Hao watu ni kama wale wa mzee mpili au tofauti? Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
SAGAI GALGANO said: Mimi ninachojua ni kuwa Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusa nchi hii Click to expand... Hao watu ni kama wale wa mzee mpili au tofauti? Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jul 28, 2021 #22 masaka kwetu said: Na imani wakikutana Paschal mayala wa 2007 na pascal mayala wa 2021 , watazipiga ngumi hadi basi. na mwamuzi atakuwa admin wa Jamii forum. Click to expand... Katika hilo pambano, naamini huyu Pascal Mayalla wa 2021 atashinda raundi ya kwanza tu, tena kwa KO dhidi ya Pascal Mayalla wa 2007!! Huyu wa sasa shavu shavu!! Anakula tu hela za Saba Saba kupitia PPR nini sijui ile! πππ
masaka kwetu said: Na imani wakikutana Paschal mayala wa 2007 na pascal mayala wa 2021 , watazipiga ngumi hadi basi. na mwamuzi atakuwa admin wa Jamii forum. Click to expand... Katika hilo pambano, naamini huyu Pascal Mayalla wa 2021 atashinda raundi ya kwanza tu, tena kwa KO dhidi ya Pascal Mayalla wa 2007!! Huyu wa sasa shavu shavu!! Anakula tu hela za Saba Saba kupitia PPR nini sijui ile! πππ